Rais Samia: Suala la Katiba hakuna anayelikataa. Si muda mrefu nitatangaza hiyo kamati kwa kushauriana na vyama vyote vya siasa

Rais Samia: Suala la Katiba hakuna anayelikataa. Si muda mrefu nitatangaza hiyo kamati kwa kushauriana na vyama vyote vya siasa

mbulula ni mbulula tu ndio maana kina kitila mkumbo wanawambia bodaboda ni kaz nzuri huku watoto wao wakifanya kaz BOT na kwa hizo akili zenu mtazeeka na huo ujinga.
Haya nambie boda boda waache hiyo kazi wakafanye kazi gani?
Tanzania haina uchumi kuliko kenya wala Nigeria ila na hizo nchi Boda boda wapo kama huku,nyie mnataka watu wote tukafanye kazi BOT?
 
Akili za wafidhina ni bure kabisa zama za JK, zama za Jiwe zimepita ndugu, mama anaujua moto wa chadema akizingua na chadema wanazingua
 
Huyu Mama, alipoanza, wapo waliomdharau kuwa eti hatafanya lolote la maana. Lakini anavyoenda, bila shaka atakuwa Rais wa pili, baada ya Mwalimu, kwa umaarufu na kutenda mambo yatakayodumu vizazi na vizazi.

Marekani wana Washington, Baba wa Taifa lao, sisi tuna Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa letu. Wamarekani wana Licon wao, Baba wa demokrasia. Sisi tuna Samia wetu, Mama wa demokrasia.
 
Yaani chadema sjui akili zenu uwa zinafanya kazi muda huo huo alafu zinazima,Kwani kikwete alisemaje kuhusu hiyo katiba na kilitokea nini?,MAGU yeye sababu ya ubishi na ubabe wake alitamka wazi huo muda wa kupoteza na hela za kuchezea hakuna.

Leo mama kasema analifanyia kazi yeye na chama chake na litapita kama lilivyopita kwa watangulizi wake.

Halafu Naomba kukuuliza swali hivi Baba mwenye nyumba anaweza tunga sheria ili mpangaji wake awe na haki kuliko yeye alafu ampindue na achukue nyumba yake na mke wake awe wa kwake,uliona wapi?
Erythrocyte ona watu wanaojitambua! Katiba ipi? Kama hawatakuelewa basi achana nao
 
Katika hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye kongamano la siku ya wanawake duniani ambalo limefanyika Moshi, Kilimanjaro na kuandalia na wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) amesema hakuna ambaye anakataa suala la katiba mpya hata chama chake kiko tayari kwa ajili ya katiba mpya.

"Suala la katiba hakuna anayelikataa, hata chama changu kimesema twende kwenye mabadiliko ya katiba. Hakuna anayelikataa lakini mdogo wangu Aikaeli anataka kasema juzi leo lifanyike. Mambo ni mengi ndani ya nchi hii lakini niwaahidi si muda mrefu nitatangaza hiyo kamati kwa kushauriana na vyama vyote vya siasa ili wakanze kazi."-Rais Samia Suluhu

FqshewQXgAI4l8v
Katiba isiyojumhisha Artistics freedom of expression
Hiko ni kitabu cha mwongozo wa kisiasa tu.

hakuna chama kinachksimamia haki za wasanii kiuchumi na kulinda uhuru wa kujieleza kupitia sanaa nchini.
 
Katika hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye kongamano la siku ya wanawake duniani ambalo limefanyika Moshi, Kilimanjaro na kuandalia na wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) amesema hakuna ambaye anakataa suala la katiba mpya hata chama chake kiko tayari kwa ajili ya katiba mpya.

"Suala la katiba hakuna anayelikataa, hata chama changu kimesema twende kwenye mabadiliko ya katiba. Hakuna anayelikataa lakini mdogo wangu Aikaeli anataka kasema juzi leo lifanyike. Mambo ni mengi ndani ya nchi hii lakini niwaahidi si muda mrefu nitatangaza hiyo kamati kwa kushauriana na vyama vyote vya siasa ili wakanze kazi."-Rais Samia Suluhu

FqshewQXgAI4l8v
Mh, mbona Mama hatumuelew elew tena! Tulishapiga makelele humu sisi kama uvccm kua katiba mpya inamsaidia nn bibi kule kijijin! Daah sa saiv anataka aanze mchakato jamani? Tutaonekanaje kweny jamii sisi uvccm!!!🚶🚶🚶
 
Tuanze kwa kusafisha kaburi la makomeo ewe mfuasi wa Magufulification
Maishha ni kupokezana mkuu

Wewe jiandae tu zamu yako inakuja kwa hawa unaowasifia sasa.
 
Yaani chadema sjui akili zenu uwa zinafanya kazi muda huo huo alafu zinazima,Kwani kikwete alisemaje kuhusu hiyo katiba na kilitokea nini?,MAGU yeye sababu ya ubishi na ubabe wake alitamka wazi huo muda wa kupoteza na hela za kuchezea hakuna.

Leo mama kasema analifanyia kazi yeye na chama chake na litapita kama lilivyopita kwa watangulizi wake.

Halafu Naomba kukuuliza swali hivi Baba mwenye nyumba anaweza tunga sheria ili mpangaji wake awe na haki kuliko yeye alafu ampindue na achukue nyumba yake na mke wake awe wa kwake,uliona wapi?
Acha ujuha. Aliyekwambia sisi Watanzania tuna Baba mwenye Nyumba ni nani?
 
Upinzani wanaitwa mdogo wangu na mwanangu wanalainikia wakidhani wanapendwa.
Mixer kualikana vitafrija kumbe wanazidi kudhoofishwa.
Wakija kutahamaki 2025 hawana hoja ya msingi.

Mama anatumia tactic ya 'killing softly'. Unapigwa bisu la utosi huku ukipewa sharubati ya baridi.
 
Katiba Mpya muhimu sana , aandae tu Fungu ili tuingie kazini
 
Back
Top Bottom