Huyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
Rais Samia Suluhu ameiagiza Wizara ya Habari kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa, na kuhakikisha vinafuata sheria. Aidha, ameagiza sheria kanuni na adhabu ziwe wazi, ifahamike kosa fulani adhabu yake ni fulani, ili isionekane kuwa serikali inaminya uhuru wa habari.
Rais Samia amesema haya...
Wizara ya habari, mnapaswa kusimamia vyombo vya habari, nasikia kuna vyombo vya habari mmevifungia, vifungulieni lakini vifuate sheria na kanuni. Tusiwape mdomo mdomo wa kusema tunabinya uhuru wa habari na nataka kanuni ziwe wazi. Tusifungie
Wasiojulikana kwisha habari yao. Sasa tutawataja hadharani.Rais Samia Suluhu ameiagiza Wizara ya Habari kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa, na kuhakikisha vinafuata sheria. Aidha, ameagiza sheria kanuni na adhabu ziwe wazi, ifahamike kosa fulani adhabu yake ni fulani, ili isionekane kuwa serikali inaminya uhuru wa habari.
Rais Samia amesema haya...
Wizara ya habari, mnapaswa kusimamia vyombo vya habari, nasikia kuna vyombo vya habari mmevifungia, vifungulieni lakini vifuate sheria na kanuni. Tusiwape mdomo mdomo wa kusema tunabinya uhuru wa habari na nataka kanuni ziwe wazi. Tusifungie tu kibabe
Kwa wenzetu waliyoendelea, Dr Abbas angejiuzulu ili kutoka kwa heshimaMama kulifanikisha hilo angemfukuza Hassan Abbas pale wizara ya Habari
Aaah wapi, unadhani hatujui sheria, yale masheria kandamizi unadhani hata huyo mama hayajui? Hakukuwa na sheria zozote zilikuwa zinafuatwa kipindi cha dhalimu zaidi ya kukomoa wasiomsujudia yule muovu. Nyie mliokuwa waumini wa yule muovu, kwa huyu maana naona haendani kabisa na maagano yenu ya umwagaji damu. Itawabidi mkatafute kazi halali, maana kundi lenu la watu wasiojulikana rasmi halina mfadhili.
Hahahaha sisi wengine yet macho na masikio...Wee thubutu yake....!! Wajaribu waone moto wa mama!
Nkamia, Vibajaj, Msukuma, Ally Kessy na Supukali Ndugai saa hizi KIMYAAAAAA...!!! Yooote hii ilikuwa na bado ni list ya mijitu ya CCM yenye Roho mbaya sana kuliko hata Ibillisi mwenyewe!
Mama SSH lazima achunge sana hii bichwa ya wavuta bhang na ughoro wasije wakamharibia mummy!!!
Chief, inawezekana watunga sheria wakaibuka out of nowhere na kutunga sheria Fulani pasipo na haja/umuhimu wa sheria hiyo?
Una kumbukumbu yoyote ya pale uhuru wa habari (kutoa na kupokea) ulipokua umefikia kwa nyakati zile zilizopelekea ‘msukumo’ wa utunzi na upitishaji wa hizi Sheria? (Ushahidi mwingi uko humu JF!)
Sheria zote za masuala ya media & mass communications, mara hii tumesahau muhusika/wahusika wakuu?
Kipindi hizi sheria zinapambaniwa, Mhe. January Makamba alikua kasimama duara gani? Na Mhe. Nape?
Side note; Sorry Chief, sijui kwanini ila every time I read your statements, Ndugu Lissu’s voice comes to my consciousness. Sijui kwanini!
Musiba yule.Rais Samia Suluhu ameiagiza Wizara ya Habari kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa, na kuhakikisha vinafuata sheria. Aidha, ameagiza sheria kanuni na adhabu ziwe wazi, ifahamike kosa fulani adhabu yake ni fulani, ili isionekane kuwa serikali inaminya uhuru wa habari.
Rais Samia amesema haya...
Wizara ya habari, mnapaswa kusimamia vyombo vya habari, nasikia kuna vyombo vya habari mmevifungia, vifungulieni lakini vifuate sheria na kanuni. Tusiwape mdomo mdomo wa kusema tunabinya uhuru wa habari na nataka kanuni ziwe wazi. Tusifungie
Mama kaanza kuchukua ushauri wa Kigogo 14
Ni jambo lenye kutia faraja sana
Naona sasa genge la yule Veronica mwenye gololi kwenye suluwale limetupiliwa mbali
Na sisi tutii maagizo.sio kuandika vitu tu kwa sababu ya wivu,uhasidi,uchoyo n.k Twitter ni mojawapo ya vyombo vya habari,itarudi tena kea kasi ya 5G.Magu alikuwa na chuki mpaka na Wabunge wake na wa Chama chake,waliompiku kura majimboni.Mwenyezi Mungu, Daima Milele,MKUBWA.Naona mama naye ni mama wa ruksaa
Akili za mataga. Kichwani mmejaza machicha ya naziWewe ndo hujamwelewa....yawezekana una ubongo wa kuku(chicken brain)....!!!!
🤣🤣🤣🤣🤣pole mno..tushazika mkuuHa ha mods walinipa ban ndefu kile kipindi tumekazana na maombi ili Mungu ampangie majukumu mengine mwendazake
Pole mataga kwa kufiwa na Litaga likubwa.Wewe ndo hujamwelewa....yawezekana una ubongo wa kuku(chicken brain)....!!!!
Naiomba serikali itume grader likasindilie vizuri asije akaamka maana ana roho ngumu baba yule🤣🤣🤣🤣🤣pole mno..tushazika mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣✌✌✌Naiomba serikali itume grader likasindilie vizuri asije akaamka maana ana roho ngumu baba yule
Wakati mwingine siamini kama kweli kafa au la🤣🤣🤣🤣🤣pole mno..tushazika mkuu
Hata mimi mkuu bado siamini amezimika gjafla mnoWakati mwingine siamini kama kweli kafa au la
Was Magufuli the Dictator died a similar death like those of his fellow dictators Abacha, Chavez,Ghadaffi, Saadam Hussein, Mugabe etc.?Mzungu ni kama mwamba, ukijidai kuupiga ngumi 👊 utaumia mwenyewe. RIP Magufuli, Abacha, Chavez, Gadaffi Saddam, Mugabe nk.
Let people speak out their minds and cherish their dreams. You can't have all the people with diverse minds think alike even God did not create us that way unfortunately this is what the fallen dictators did not understand. Very sorry for them and let this serve as a lesson to all of us who are still living.