Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Sasa ni zamu ya malaika kutekwa na kubambikiwa kesi😂taratibu asije akawatoroka malaika huko
Tanzania Daima!
MATAGA 😴😴😴😴😴😴😬😬😬😬MAWIO Oyeeeee,😆😆😆😆😆🖖🖖
MWANAHALISI Oyeeeee😄😄😄😄🖖🖖
TANZANIA DAIMA Oyeeeee😆😆😆😆😆🖖🖖🖖
Q
WASAFI Oyeeeee😆😆😄😄🖖🖖🖖
ABUNUASI Ziiiiiiiiiiiiiiiiii😭😭😭😭😭😭😭😗😗😗😗
Asanteni kwa kunisikiliza.
MWANAHALISI ya Ndimala Tegambwage? Oyeeeee 😆😆
MAWIO Oyeeeee 😆😆😆😆
Tanzania daima , Oyeeeee😄😄😄😄
Kaharibu nini apo mbona mapema sana!Huyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
Upinzani hauwezi kufa.upinzani unazikwa rasmi.
Huoni rais anayetoka chama cha sisiemu anasema na kuagiza wateule wake wakahakikishe wanatekeleza ilani ya sisiemu alafu bavicha wanashangilia kuwa sisiemu kwisha habari yake, unaona kuna upinzani hapo? Itafika wakati mtaamini sasa kuwa hamkua mnaibiwa kura...
DaahAhsante Mungu kwa kutuondolea mja wako ndugu magu
Yap...Upinzani hauwezi kufa.
Ahahaha kwahiyo mama Samia atakuwa na conekisheni ya huko majuu sasaKm meko ashapewa cheo cha mkuu wa malaika atawatuma waje wafunge internet!
Maanda mano haja ghusiaPia asisahau kugusa issue ya mikutano ya vyama vya siasa na mikutano yao
Watafata sheria kama gazeti la MusibaNajua ni jambo ambalo halitakua na muda wale wakora mtafungiwa tena.
Kama amesema mfuate sheria na ninyi kufuata sheria huwa hamtaki sasa unategemea nini kitafuata?
Angesema mpewe uhuru kwa chochote bila kufuata sheria mko huru ningewaza kidogo.
Mataga hawajui washike wapiKina lissu wataanza kupotea sasa maana vya kuongea hamna
😀 Kunguni wansagwa upande wenu Sasa, hakuna atakayekuwa na furaha ya kudumu. Ngojaaa na sisi waungwana na wenye mapenzi ya kweli na nchi tufurahi na kuindeleza nchi katika mising ya haki na usawa, nyie kaeni pembeni muone maajabu ya mungu.Huyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
Anayumba kinoma! Hapa sidhani...Angekuwa anaamini katika uhuru wa habari asngesema malalamiko ya waandishi ni "mdomo mdomo kwamba tunabinya."
Samia Hassan is a lightweight, kila anachoongea huwa kinaelea tu hewani, hakina sense. Amesema walofungiwa waachiwe lakini wafuate sheria. Nani alifungiwa bila kufuata sheria? Au sheria ndio zilikuwa mbovu, aseme!
Kama walionewa kwa nini unawaambia wafuate sheria?
Makosa na adhabu yaeleweke. Kwani jbo gani halieleweki kama ni kosa ama sio kosa, kwa mfano?
Haeleweki huyu Mama.
Najua ni jambo ambalo halitakua na muda wale wakora mtafungiwa tena.
Kama amesema mfuate sheria na ninyi kufuata sheria huwa hamtaki sasa unategemea nini kitafuata?
Angesema mpewe uhuru kwa chochote bila kufuata sheria mko huru ningewaza kidogo.