Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake, bali haijulikani nini walichojadiliana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kwenda ile nyumba yetu ya kutapikia kwa nyuma tutaletewa kama taarifaNayo ni taarifa?, matembezi tu ya kawaida haya.
Magu alikuwa Hana Hela? Kijazi? Mengi?Kama sio hela huyu mzee angeshachomoka
Hahaha, Mkuu mbona umeghafirika hivyo?Hivi huyu bibi hana kazi za kufanya mpaka nako kumtembelea Lowassa ni taarifa kwa umma? nchi imejaa shida chungu nzima huku anazunguka tu.
Wamepata Safari ya ghaflaMaisha haya kweli Mungu hupanga wakati wanadamu huwaza tu...
Mzee Lowassa yupo vizuri kabisa, wakati waliokuwa wakimkejeli kwa mipush ups miaka ile sijui hata wapo wapi...
Lowassa anavujisha namna mbowe na genge lake walivyohatari kwa usalama w nchiHii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake , bali haijulikani nini walichojadiliana .
Thubutu yako Lowasa sio wa kumbambikia mtu kesiLowassa anavujisha namna mbowe na genge lake walivyohatari kwa usalama w nchi
Sumu mliowapa umesahau?Maisha haya kweli Mungu hupanga wakati wanadamu huwaza tu...
Mzee Lowassa yupo vizuri kabisa, wakati waliokuwa wakimkejeli kwa mipush ups miaka ile sijui hata wapo wapi...
Nimeweka uzi huu kimkakatimzee wa watu hata push ups hajui kupiga ila bado yupo [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
uzi mmoja unataka kuuliza maswali mangapi ?Nayo ni taarifa?, matembezi tu ya kawaida haya.
JinyongeHivi huyu bibi hana kazi za kufanya mpaka nako kumtembelea Lowassa ni taarifa kwa umma? nchi imejaa shida chungu nzima huku anazunguka tu.
Wanabanikwa kama ndafu huko jehanamMaisha haya kweli Mungu hupanga wakati wanadamu huwaza tu...
Mzee Lowassa yupo vizuri kabisa, wakati WALIOKUWA WAKIMKEJELI KWA MIPUSH UPS miaka ile sijui hata wapo wapi...