SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Lowasa ana akili timamu wewe.Lowassa anavujisha namna mbowe na genge lake walivyohatari kwa usalama w nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowasa ana akili timamu wewe.Lowassa anavujisha namna mbowe na genge lake walivyohatari kwa usalama w nchi
Mpu.mbavu wakati wote huwaza upumbav.u.Lowassa anavujisha namna mbowe na genge lake walivyohatari kwa usalama w nchi
UMESHATOKA MAHAKAMANI UMERUDI HUKU TENA?NAONA KULE LEO HAKUKALIKI USHAHIDI MURUWAAAAA KWA GAIDI UMEMMALIZA KABISA UKAONA BORA UJE URIPOTI YA MAMA YETU EEE???Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake , bali haijulikani nini walichojadiliana .
Kaenda kumjulisha siasa laini laini sasa zimerudi 😂😂... Kwamba wanaweza kujicock? 🙄🚶♂️🚶♂️🤔Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake , bali haijulikani nini walichojadiliana .
Sumu muliowapa umesahau?
Binadamu bhana, wanaloga alafu wanajiuliza ilikuaje.
Mzee Lowassa ni nguli wa siasa za Tanzania, mwenye nguvu na ushawishi ndani ya Chama tawala CCM na ndani ya Chama kikuu cha upinzani, yaani CHADEMA. Ni mwanasiasa mahiri Tanzania kuliko mwingine katika miaka ya karibuni. Prof Mwandosya aliwahi kumuelezea Lowassa kama mzee wa mipango, mwanasiasa makini ananiambia haraka kwamba aanzie wapi na amalizie wapi tena bila kutumia kauli za leo leo. Anajua atamke nini wakati husika na wapi akae kimya. Kama Rais kamtembelea bila shaka ni kwa kujua mchango wake nami namtakia Mungu wa Rehema amuimarishe mzee wa watu na wote wanaomtunza. My white hair!Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake , bali haijulikani nini walichojadiliana .
Team Membe watanuna.
Prof Mwandosya aliwahi kumuelezea Lowassa kama mzee wa mipang
Maigizo ya kupambana na Corona Tanzania ni kichekesho...wanashikana mikono,hakuna social distance,watatu akiwemo Hangaya hawajavaa barakoa,mmoja kavaa libarakoa Kama bakuli.Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake , bali haijulikani nini walichojadiliana .
Kweli kabisa hata waliofurahia mpiga push up kutwaliwa,familia zao zinanyofolewa na Israel,Kaka mtu,mama mkwe😈😈Maisha haya kweli Mungu hupanga wakati wanadamu huwaza tu...
Mzee Lowassa yupo vizuri kabisa, wakati waliokuwa wakimkejeli kwa mipush ups miaka ile sijui hata wapo wapi...
Kaa kwenye nyumba za tembe ukisubiri tshirt na kofia 2025Jinyonge
Alikuwa kibonge.Naona Lowassa anafanya Diet kapungua sana.
Kaa kwenye nyumba za tembe ukisubiri tshirt na kofia 2025
Unajua maana ya kukutana?Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake, bali haijulikani nini walichojadiliana.
Hawa wapuuzi