Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Huyo mwenye tabasamu pana pembeni mwa Presida ni mtoto wa Lowassa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama aliingizwa mkenge na wahuni naye akaingia kichwa kichwaKesi ya Mbowe inamuumiza sana kichwa huyu mama hapa anatafuta jinsi ya kujinasua.
Aisee Lowassa amegeuka kijana kabisa. Hivi ni kitu gani kilimdoofisha Sana Ile 2015 alipokuwa CCM kabla ya kutimkia Chadema? Mpaka wakamtabiria atakufa na kwamba Ikulu siyo ya Marais marehemu watarajiwa. Nashauri wakamuombe msamaha maana mpaka nguli wao alishadondoka na wengine kibao. Lowassa yupo tu na cheko lake na Sura ya kunawiri kabisa.Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake, bali haijulikani nini walichojadiliana.
Baada ya ziara kwa mkongwe huyu wa siasa za kistaarabu, basi tutarajie mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri.Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake, bali haijulikani nini walichojadiliana.
Atakua amejiongezaHuenda...maana mama wakati huo alikuwa shuhuda wakati wapiga push ups wakitokwa jasho na kushangiliwa na wafuasi wao...
Hata wao walikaa sana kwakuwa na helaZaidi Ni Mungu mkuu.Mkapa, Magu, kijazi Mahiga walikosa nn?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hivi vichekesho tunavipata kupitia namba gani?Rais wa watu huyu. Anatambua thamani ya viongozi wastaafu. Anajua Lowassa bado ana nguvu, tena turufu kisiasa. Lowassa anapendwa na WanaCCM wengi Sana na akiunga mkono imepita. Binafsi 2025 nitapiga kampeni nyumba kwa nyumba mpaka Mh. Samia ashinde kwa kishindo.
Askari shujaa ni yule aliyefia uwanjwa wa vita .....hata tunapo azimisha siku ya mashujaa tunawakumbuka waliofia uwanja wa vitaMzee wa watu hata push ups hajui kupiga ila bado yupo hai.
Uwanja wa vita ya korona 🤣🤣🤣Askari shujaa ni yule aliyefia uwanjwa wa vita .....hata tunapo azimisha siku ya mashujaa tunawakumbuka waliofia uwanja wa vita
Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake, bali haijulikani nini walichojadiliana.
Vyovyote vile hata ikiwa korona wewe unafikili korona ingemkuta raisi ni kikwete au mama saa mbovu" mambo yangekuwaje tungepigwa lockdown na polisi wangeua watz wengi sana ,njaa na umasikini ungekuwa mara 10 ya sasa magufuli katuvusha sehemu muhimu sanaUwanja wa vita ya korona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizi ni ndoto za mchana unaota.Vyovyote vile hata ikiwa korona wewe unafikili korona ingemkuta raisi ni kikwete au mama saa mbovu" mambo yangekuwaje tungepigwa lockdown na polisi wangeua watz wengi sana ,njaa na umasikini ungekuwa mara 10 ya sasa magufuli katuvusha sehemu muhimu sana
hizi ndio huwa tunaita bangi mbichiHii picha sio ya hivi karibuni ni ya zamani sababu ni hizi;
1. Lowasa wa sasa amezeeka Sana sio huyo. Like wise mama Samia.
2. Picha ya rais inapigwa ikionyesha mamlaka yake ; nyuma hapo tungeona wale walinzi ili kutosheleza itifaki.Hapo mama Samia anaonekana Kama mwanamama wa tandale kamtembelea mkuu wa mkoa na sio rais wa Tanzania kiufupi Kama hiyo pic ni kweli Basi imevunja itifaki.
Mwisho hii picha ni ya zamani Sana.
Ushindwe na ulegee!!!Isijekuwa .....