Rais Samia Suluhu akutana na Edward Lowassa

Maisha haya kweli Mungu hupanga wakati wanadamu huwaza tu...

Mzee Lowassa yupo vizuri kabisa, wakati waliokuwa wakimkejeli kwa mipush ups miaka ile sijui hata wapo wapi...
 
Mzee Lowassa bana, jamaa wakapiga pin account zake mbili tu kati ya 4 kumsikilizia, akaona ohoo ishakuwa jau akajisalimisha lumumba fasta yeishee - ha ha ha ha
 
Maisha haya kweli Mungu hupanga wakati wanadamu huwaza tu...

Mzee Lowassa yupo vizuri kabisa, wakati waliokuwa wakimkejeli kwa mipush ups miaka ile sijui hata wapo wapi...
Sumu mliowapa umesahau?

Binadamu bhana, wanaloga alafu wanajiuliza ilikuaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…