Rais Samia Suluhu alituliza Taifa

Rais Samia Suluhu alituliza Taifa

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Tukubali tukate lakini ukweli utabaki kuwa huu kwamba tangu aingie madarakani Rais Samia Suluhu amefanikisha kulituliza taifa na kuhakikisha tupo salama.

Maswali ya wengi yalikuwa angewezaje? Lakini kwa uwezo wa Mungu na utendaji kazi wake kwa kuzingatia maadili na uongozi bora, Rais Samia Suluhu amefanikisha kuliongoza taifa hili.

Baadhi ya mambo aliyofanya Rais Samia Suluhu ni pamoja na

- Atumia mamlaka yake kuondoa maumivu ya tozo
-Aunganisha Kigoma na Gridi ya Taifa
-Kapu lake latoa Bil.160 ujenzi wa madarasa
-Samia Scholarship yaleta neema kwa wanafunzi
-Amehakikisha Tanzania tuna mahusiano mazuri na mataifa mengine kwa kuendeleza diplomasia safi.
 

Attachments

  • The_6th_President_of_Tanzania.jpg
    The_6th_President_of_Tanzania.jpg
    20.6 KB · Views: 5
Pia amekuwa kimya na makusanyo ya TRA.
Hatujui tena kinacho endelea kwenye Madini.
Hakuna tena tumbu tumbua ya mafisadi.
Amekuwa mpole na Mali za Uma
 
Pia amekuwa kimya na makusanyo ya TRA.
Hatujui tena kinacho endelea kwenye Madini.
Hakuna tena tumbu tumbua ya mafisadi.
Amekuwa mpole na Mali za Uma
Tusipende kulalamika kwa kila kitu bali tujifunze kushukuru hata kwa kidogo. Kwa hapa tulipofikia Rais Samia Suluhu amefanya kazi kubwa sana na bado kazi hiyo inaendelea.
 
Amefanikiwa kuweka tozo wakati marais waliopita hawakuwahi kufikiria hivyo. Kwa kweli tumpongeze
 
Tukubali tukate lakini ukweli utabaki kuwa huu kwamba tangu aingie madarakani Rais Samia Suluhu amefanikisha kulituliza taifa na kuhakikisha tupo salama.

Maswali ya wengi yalikuwa angewezaje? Lakini kwa uwezo wa Mungu na utendaji kazi wake kwa kuzingatia maadili na uongozi bora, Rais Samia Suluhu amefanikisha kuliongoza taifa hili.

Baadhi ya mambo aliyofanya Rais Samia Suluhu ni pamoja na

- Atumia mamlaka yake kuondoa maumivu ya tozo
-Aunganisha Kigoma na Gridi ya Taifa
-Kapu lake latoa Bil.160 ujenzi wa madarasa
-Samia Scholarship yaleta neema kwa wanafunzi
-Amehakikisha Tanzania tuna mahusiano mazuri na mataifa mengine kwa kuendeleza diplomasia safi.
Nasikia sasa anakuja na TOZO Mpya ya Laini za simu..

 
Nipo maeneo ya Kigamboni mida hii sijatulia kabisa, eti wenzangu huko mmetulia kama Uzi usemavyo
 
Pia amekuwa kimya na makusanyo ya TRA.
Hatujui tena kinacho endelea kwenye Madini.
Hakuna tena tumbu tumbua ya mafisadi.
Amekuwa mpole na Mali za Uma
Unapotenda kazi usipende kupanda juu ya paa na kupiga mayowe watu wakuone.Matendo huongea.
 
Tukubali tukate lakini ukweli utabaki kuwa huu kwamba tangu aingie madarakani Rais Samia Suluhu amefanikisha kulituliza taifa na kuhakikisha tupo salama.

Maswali ya wengi yalikuwa angewezaje? Lakini kwa uwezo wa Mungu na utendaji kazi wake kwa kuzingatia maadili na uongozi bora, Rais Samia Suluhu amefanikisha kuliongoza taifa hili.

Baadhi ya mambo aliyofanya Rais Samia Suluhu ni pamoja na

- Atumia mamlaka yake kuondoa maumivu ya tozo
-Aunganisha Kigoma na Gridi ya Taifa
-Kapu lake latoa Bil.160 ujenzi wa madarasa
-Samia Scholarship yaleta neema kwa wanafunzi
-Amehakikisha Tanzania tuna mahusiano mazuri na mataifa mengine kwa kuendeleza diplomasia safi.
Hii mada inatusaidia nini?
 
Back
Top Bottom