Rais Samia Suluhu alituliza Taifa

Chawa katika ubora wake
 
Siku hizi wanasiasa wanatengeza lundo LA machawa na kuwamwaga mitandaoni.
 
Utulivu ya Nyoko!!!!
Una ushabiki wa kishenzi tu! Unadhani utulivu wakati akina Mwigulu wanaiba itakusaidia nini?
Unawezaje kusifgia mambo ya Tozo, nani aliyaleta?
 
raisi hupata taarifa kutoka idara zote za deriali kila siku ... kutotangaza hakumaanishi kwamba hajui kinachoendelea hapana
unajua maana ya briefying?
neno briefing basi ndio mnajikuta mnajuuuuuwa,, hayati mlisia ni mzalendo kwa kuwa hatoki ila huyu mnamsifia kwa kuzurura mkisema anafungua nchi, ameondoa tozo seriousily????? samia scholarship na kuna bodi ya mikopo ya elimu ya juu what for,, mikopo ya kapu lamama inayokwenda kwa vimama vya sisiem ni lazima uwe ccm ndio upate ubaguzi tu na siasa za kishamba, ni huyu ndio alimbandika kesi ya ugaidi Mbowe ni huyu ameleta tozo ni huyu kipindi chake mafuta yamepanda sana na gharama za maisha zimeenda juu sana ni huyu katika awamu yake ufisadi ni mwingi wa kutisha sana kila kona, ni huyu amekopa kuliko wote waliomtangulia na ni huyu huyu na chama chake wamegeuza hata mpira wa miguu kuwa sehemu za kampeni kabla ya wakati nothing good on her. Labda kwenu chawa pro max msiofanya kazi mnakula kiulaini ka kusifia viongozi ile PAYE haiwaumi
 
Utulivu ya Nyoko!!!!
Una ushabiki wa kishenzi tu! Unadhani utulivu wakati akina Mwigulu wanaiba itakusaidia nini?
Unawezaje kusifgia mambo ya Tozo, nani aliyaleta?
Machawa Masenge sana na ukiyatazama mengi sana Nyoko zao kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…