Rais Samia Suluhu anafanya vizuri bei ya mafuta ukanda wa maziwa makuu

Rais Samia Suluhu anafanya vizuri bei ya mafuta ukanda wa maziwa makuu

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,

photo_2022-05-07_10-04-05.jpg

===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
photo_2022-05-07_10-08-35.jpg


===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
photo_2022-05-07_09-54-29.jpg

==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,

CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===

photo_2022-05-07_10-05-06.jpg

===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,

===
photo_2022-05-07_09-58-06.jpg


===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu

===
photo_2022-05-07_10-10-11.jpg


===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,

Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,

Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,

Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,

Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,

Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
 
===
Hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uona majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta,
View attachment 2215033
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta iko juu,

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
View attachment 2215041
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
View attachment 2215042
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
View attachment 2215043
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,
View attachment 2215059

MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani, View attachment 2215063

Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM au Ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo ama Zitto Kabwe wala sio Umoja Party au NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia yote haya ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania na wala si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii,


Tuendelee kumwomba kwa bidii,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,
Rais Samia anapambana sana shida hii nchi Upinzani ni wapotoshaji sana,
 
Hiyo 3100 ni Dasalama labda, vituo vya mbarali ni 3252. Unajua Uganda mafuta yanapita bandari ya Mombasa? Kwahiyo kuuza Kwa hiyo Bei inghalimu mpaka usafirishaji kutoka Kenya? Unajua mataifa mengine yote uliyotaja hutegemea bandari yetu kuingiza mafuta? Niwekee Bei ya nchi yenye bandari Kama yetu mfano hapo Kenya linganisha Bei yake na yetu hapo ndo nitaunga mkono juhudi za kuimba mapambio kuwa "ANA UPIGA MWINGI"
 
===
Hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uona majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta,
View attachment 2215033
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta iko juu,

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
View attachment 2215041
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
View attachment 2215042
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
View attachment 2215043
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,
View attachment 2215059

MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani, View attachment 2215063

Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM au Ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo ama Zitto Kabwe wala sio Umoja Party au NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia yote haya ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania na wala si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii,


Tuendelee kumwomba kwa bidii,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,
Nchi zote hizo hazina bandari.

Hujaweka Kenya na Msumbiji nchi zenye bandari, hujaweka hata DRC.
 
Rais Samia anapambana sana shida hii nchi Upinzani ni wapotoshaji sana,
H
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
Hivi unajua wanapopakulia mafuta wazambia toka kwenye meli au umekurupuka tu kuandika. Mafuta ya zambia yanapakuliwa daresalaam, yanasafirishwa kwa reli/barabara zaidi ya km1000 plus kodi wanayolipa bandari ya dar. kama dar diesel ni tsh 3200 na zambia ni tshs 3400 tofauti ya tshs 200 (pamoja na gharama ya kusafirisha na kodi) na wewe unaona kuwa zambia mafuta ni ghali basi utakuwa una shida kichwani kwako. Au utakuwa mmoja wa wanaolamba asali
 
huna akili we kiazi cha kutupwa!! unafananisha land locked countries na nyie mnaoshusha mafuta kutoka kwenye meli moja kwa moja.....
huyo siyo kiazi amefananisha kwakuwa chadema wanasambaza habari kuwa kwanini zambia mafuta yako chini kuliko huku yanapopita? unaona ujinga wa chadema sasa?
 
Ni bora kuingia mitaani na Guta ili kuzoa takataka nijipatie Riziki fleesh na maisha kusongs.. Kuliko kufanya kazi hii ya kipumbavu, ya kulazimisha 0 iwe Moja ili mtu apate mkate

Ni kazi ngumu mno mnaofanya kazi hizi za kusafisha matope mszito ili yawe maji!
 
Back
Top Bottom