Rais Samia Suluhu anafanya vizuri bei ya mafuta ukanda wa maziwa makuu

Rais Samia Suluhu anafanya vizuri bei ya mafuta ukanda wa maziwa makuu

Lilongwe wiki iliyopita nimenunua petrol kwa Tsh 2730 ukigawanya kwa mbili ndio unapata Malawi Kwatcha na hiyo Nchi bei ya mafuta ni moja Nchi nzima na yanapita Tanzania mpaka kufika huko ni kama 1700Km... ishu ya mafuta Tanzania pana kodi kubwa na hao Ewura hakuna wanachokifanya...
 
Lilongwe wiki iliyopita nimenunua petrol kwa Tsh 2730 ukigawanya kwa mbili ndio unapata Malawi Kwatcha na hiyo Nchi bei ya mafuta ni moja Nchi nzima na yanapita Tanzania mpaka kufika huko ni kama 1700Km... ishu ya mafuta Tanzania pana kodi kubwa na hao Ewura hakuna wanachokifanya...
Sio kweli
 
Sio kweli
Ni jinsi gani unaonekana hujui kitu bei ya mafuta au magari Malawi sio kubwa maana kodi yao ipo chini sana kutokana na maisha yao...wengine wanajaza mafuta Karonga tuu hapo sio mbali kutoka Songwe mpakani...
 
Ni jinsi gani unaonekana hujui kitu bei ya mafuta au magari Malawi sio kubwa maana kodi yao ipo chini sana kutokana na maisha yao...wengine wanajaza mafuta Karonga tuu hapo sio mbali kutoka Songwe mpakani...
Hapo nimekupata
 
H

Hivi unajua wanapopakulia mafuta wazambia toka kwenye meli au umekurupuka tu kuandika. Mafuta ya zambia yanapakuliwa daresalaam, yanasafirishwa kwa reli/barabara zaidi ya km1000 plus kodi wanayolipa bandari ya dar. kama dar diesel ni tsh 3200 na zambia ni tshs 3400 tofauti ya tshs 200 (pamoja na gharama ya kusafirisha na kodi) na wewe unaona kuwa zambia mafuta ni ghali basi utakuwa una shida kichwani kwako. Au utakuwa mmoja wa wanaolamba asali
Zambia mafuta yanasafirishwa kutoka Dar(Kurasini) kwenda Zambia kutumia bomba la mafuta la TAZAMA hakuna cha treni wala lori acha upotoshaji. Imejaa chuki na Rais wetu mpendwa lakini umeshindwa tayari.
 
Zambia mafuta yanasafirishwa kutoka Dar(Kurasini) kwenda Zambia kutumia bomba la mafuta la TAZAMA hakuna cha treni wala lori acha upotoshaji. Imejaa chuki na Rais wetu mpendwa lakini umeshindwa tayari.
Bei yake ni kiasi gani?
 
Rais Samia anapambana sana shida hii nchi Upinzani ni wapotoshaji sana,
This wrong parception...

Hivi vyombo vya moto vinaendeshwa na CHADEMA/wapinzani tu? Nyie CCM mnanunulia mafuta wapi kuendesha bodaboda na magari yenu? Hamlalamikii bei hizi kweli...?
 
Ubora upi hapo?

Mmeposha sana humu jf, am back
Wewe unapiga propaganda za kisiasa tu hapa kwa maumivu ya wananchi wenzako...

Kwa sababu Logic inakuambia Tanzania ilikuwa lazima bei ya mafuta iwe chini tena kwa mbali sana na nchi hizo zote ambazo zinategemea bandari za nchi zingine ikiwemo bandari yetu ya DSM ku - import mafuta hayo...!

Hebu Tazama data ulizoweka mwenyewe kwa nchi ya Rwanda kwa mfano:

Bei ya lita ni $ 1.332 sawa na TZS 3,064 (tofauti ya karibu TZS 600 max price) hapa kwetu TZ huku Rwanda hao hao wakipitishia mafuta yao ktk bandari yetu ya DSM au Mombasa - Kenya...

Mimi nilitegemea kama Rwanda bei ni 3,064, basi sisi wenye bandari bei ingekuwa chini ya TZS 2,400 at least...

Lakini ni ajabu kuwa Rwanda petrol ina bei ya chini zaidi kuliko Tanzania...!!!!
 
Unafaidika nini kuwatetea hao majizi ya ccm ambayo yanaendelea kuwaingiza watanzania katika lindi kubwa la ufukara!!!!?
 
Back
Top Bottom