Rais Samia Suluhu anafanya vizuri bei ya mafuta ukanda wa maziwa makuu

Rais Samia Suluhu anafanya vizuri bei ya mafuta ukanda wa maziwa makuu

===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,

View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041

===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,

CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===

View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,

===
View attachment 2215059

===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu

===
View attachment 2215063

===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,

Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,

Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,

Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,

Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,

Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
Tupe na bei ya mafuta kwao Zanzibar
 
===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,

View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041

===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,

CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===

View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,

===
View attachment 2215059

===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu

===
View attachment 2215063

===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,

Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,

Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,

Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,

Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,

Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
We kenge unajua bei ya mafuta zanzibar? Mbona hujaweka hapo?
 
===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,

View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041

===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,

CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===

View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,

===
View attachment 2215059

===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu

===
View attachment 2215063

===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,

Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,

Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,

Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,

Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,

Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
Twambie kabla ya hizo bei pipa huko uarabuni lilikua ni sh ngapi na sasa ni sh ngapi?
Limeongezeka shiling ngapi toka mwa 2020,na bei za wakati huo ilikua sh ngapi?
 
===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,

View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041

===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,

CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===

View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,

===
View attachment 2215059

===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu

===
View attachment 2215063

===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,

Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,

Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,

Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,

Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,

Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
Kumbe ZAMBIA nao hoi,
 
===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,

View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041

===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,

CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===

View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,

===
View attachment 2215059

===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu

===
View attachment 2215063

===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,

Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,

Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,

Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,

Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,

Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
Tanzania iko salama wakati wote chini,
 
Kwan kalalamika bei ya mafuta????

Kama inchi tupo vizuri


MITANO TENA au mnasemaje wajumbe
 
===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,

View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041

===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,

CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===

View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,

===
View attachment 2215059

===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu

===
View attachment 2215063

===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,

Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,

Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,

Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,

Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,

Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
mkuu kwetu ni jiji huku mkoani na bei ni TZS 3,298 kwa lita ya Petrol tena from TZS 2,945 huku kwetu bei sio TZS 3,100 yako, wewe kama hujaguswa jiwe halijakupata, usituzibe midomo you have no idea how much we suffer.
 
===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,

View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041

===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,

CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===

View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,

===
View attachment 2215059

===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu

===
View attachment 2215063

===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,

Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,

Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,

Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,

Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,

Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
Safi Sana Mama Samia,
 
===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,

View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?

Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041

===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,

Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,

CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===

View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,

Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,

===
View attachment 2215059

===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu

===
View attachment 2215063

===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,

Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,

Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,

Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,

Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,

Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,

Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,

Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,

Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,

Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
Kichwa ako imejaa funza hizo nchi hazina hata bahari mafuta yanasafirishwa na lorry kutoka dsm ila bado bei ni kawaida
 
Back
Top Bottom