econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Nashukuru Mhe Rais kuendelea kuniamini
Nchi hii CCM inaifanya iwe Dubai
Msalimieni Makonda mwambie endelee kuchpa kazi
GM
Dubai unaifahamu?. Acheni mizaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Mhe Rais kuendelea kuniamini
Nchi hii CCM inaifanya iwe Dubai
Msalimieni Makonda mwambie endelee kuchpa kazi
GM
Akaipitie aseeWakumbushe kutuma ripoti Kwa mwenezi robo ya pili inaenda kuishia hiyo na vile disemba mwezi wa bata .
A bunch of "YES MOTHER" GATHERINGRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2023.
View attachment 2819875
Bila shakaAkaipitie asee
Kamfufue uzikwe wewe basiLegacy ya Magufuli
KalifufueLegacy ya Magufuli
Nimecheka kwa sauti ,, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila Tanzania inahitaji maombi,sasa mtu kama Nape na January wanamshauri nini Rais![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Huyo ni Rais wenu nyie maccm wa mchongo na wazanzibar,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2023.
View attachment 2819875
Sio MATAPELI 2 bali MAJAMBAZIKikao cha matapeli, hawana tofauti na wale wa tuma kwenye namba hii.