Rais Samia Suluhu apokea andiko la ombi la Tanzania, Kenya na Uganda kuwa Mwenyeji wa AFCON 2027

Rais Samia Suluhu apokea andiko la ombi la Tanzania, Kenya na Uganda kuwa Mwenyeji wa AFCON 2027

Naomba Mungu ombi lisikubaliwe ili tuikwepe aibu ya taa za uwanjani kuzimika na mpira kusimamia kwa masaa 2 huku dunia ikituangalia
 
Sasa timu washiriki si huwa wana free entry sasa kama nchi tatu tunaomba kwa pamoja maana yake yani kenya Tanzania na Uganda ziingie free tu kwenye afcon..hii mbona kama itagomewa na caf
 
Karibu theluthi mbili ya watu wanaishi chini ya dola moja kwa siku sasa ni nani atakayeenda viwanjani kutizama hizo mechi.

Samia amekuwa rais asiyejali kabisa maendeleo na badala yake ameingilia mambo ya kipuuzi kabisa ili kujaribu kusahaulisha watu na madhaifu ya utawala wake.

Huyu inatakiwa 2025 aende kabisa nyumbani kwani uongozi umemshinda kabisa.
Acha ujinga wako hapa wewe, kwani wanaoendaga kuitazama ligi kuu na kujaza uwanja wa mkapa huwa unawalipia wewe viingilio? Huwa unawasafirisha wewe?
 
Acheni siasa kwenye mambo tusiyo na uwezo nayo!

Kiwanja kimoja tu chenye hadhi hiyo ya AFCON halafu mbwembwe kibao!
Ndio maana ya joint bid... Nchi 3 kila moja ikiwa na viwanja 2 hivyo ni viwanja 6. Vinatosha kabisa ku-host AFCON. Tanzania tayari tuna uwanja mmoja wenye hadhi
 
Wakatavyolipigia debe hili jambo

Ngojeni muone

Ova
 
Back
Top Bottom