Karibu theluthi mbili ya watu wanaishi chini ya dola moja kwa siku sasa ni nani atakayeenda viwanjani kutizama hizo mechi.
Samia amekuwa rais asiyejali kabisa maendeleo na badala yake ameingilia mambo ya kipuuzi kabisa ili kujaribu kusahaulisha watu na madhaifu ya utawala wake.
Huyu inatakiwa 2025 aende kabisa nyumbani kwani uongozi umemshinda kabisa.