Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Bawacha utapata tabu sanaKuwabaka wanaChato kiakili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bawacha utapata tabu sanaKuwabaka wanaChato kiakili
Endeleeni kuwashika makalio wanaChato. Yaani muitangaze Chato kuwa mkoa wakati mbunge wao mmemtumbua uwaziri kwasabb ni msukuma?Bawacha utapata tabu sana
Hayo ndio akikataa Samia kwamba haangalii kabila la mtu!.Endeleeni kuwashika makalio wanaChato. Yaani muitangaze Chato kuwa mkoa wakati mbunge wao mmemtumbua uwaziri kwasabb ni msukuma?
Kabisa 💯Leo Chato inatangazwa kuwa mkoa
Ficha ujinga wako..bawacha imeingiaje hapa.Bawacha umenuna
Tena pro max.Jenista Mhagama ana x-ristics zote za Uchawa
Vigezo havijakamilikaLeo Chato inatangazwa kuwa mkoa
Hayo ndio akikataa Samia kwamba haangalii kabila la mtu!.
.
Na akawambia nyie wajinga wa bawacha kwamba akimtoa mtu mnaanza kusema anawakomoa sukuma gang.
Itasubiri I,a kaahidi wanakamirisha vigezo!Kwahyo Chattle itabiri isubiri ili kuwa Mkoa
Mbele ya kamera wanafanya kiunafiki mkuu, ili waonekane wanatii.....hilo siyo wanasisiemu tu ni viongozi wote wa SerikaliViongozi wa ccm ikiwa hakuna camera hawavai barakoa, ikiwa hakuna hafla za kitaifa wanajikausha bila barakoa yaani nikuangalia nakuacha walivo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akishiriki katika kilele cha mbio maalum za mwenge wa uhuru na kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere katika uwanja wa Magufuli - Chato mkoani Geita leo tarehe 14 Oktoba 2021.
Hebu uwe na adabu basi heheh...Jenista Mhagama ana x-ristics zote za Uchawa
Wewe sio mkazi wa ChatoSo itatusaidia nn sisi wakazi wa Chato? Tutaanza kupewa chakula na mavazi bure?
OopsLeo Chato inatangazwa kuwa mkoa