Rais Samia Suluhu ashiriki katika kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Mwalimu Nyerere

Rais Samia Suluhu ashiriki katika kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Mwalimu Nyerere

Endeleeni kuwashika makalio wanaChato. Yaani muitangaze Chato kuwa mkoa wakati mbunge wao mmemtumbua uwaziri kwasabb ni msukuma?
Hayo ndio akikataa Samia kwamba haangalii kabila la mtu!.
.
Na akawambia nyie wajinga wa bawacha kwamba akimtoa mtu mnaanza kusema anawakomoa sukuma gang.
 
Hayo ndio akikataa Samia kwamba haangalii kabila la mtu!.
.
Na akawambia nyie wajinga wa bawacha kwamba akimtoa mtu mnaanza kusema anawakomoa sukuma gang.

Kwa kusisitiza akatutolea mfano wa msaidizi/ wazaidizi inaweza kuwa upande wa vetting aliye muambia ofisi/ wizara flani ni watanga huyu yule watanga. Mh Rais akamuuliza hawana uwezo? Huyu jamaa lazima alitahayarika sana na sijui angeenda mbele kidogo akamwambia huyu ni wa dini hii na yule ni wa dini hii hii na fikiri asingeishia kutahayarika tu bali angaliomba ardhi ipasuke imfiche. Angalizo sijasema neno ni wadini yetu, asitokee wa kunilisha maneno hapa!
 
Viongozi wa ccm ikiwa hakuna camera hawavai barakoa, ikiwa hakuna hafla za kitaifa wanajikausha bila barakoa yaani nikuangalia nakuacha walivo
Mbele ya kamera wanafanya kiunafiki mkuu, ili waonekane wanatii.....hilo siyo wanasisiemu tu ni viongozi wote wa Serikali
 
Uzi umepuuzwa huu mpaka na MaCCM yenyewe, kwa kifupi Samia ana hali ngumu sana.
 
Back
Top Bottom