Rais Samia Suluhu aweka rekodi ya kudumu Mikoa ya Kigoma na Katavi

Kigoma kama kunamtu wa kumshukuru basi ni huyu mama,
 
Mkuu kwani waliomtangulia huu haukuwa wajibu wao?
 
Kulikuwa na Mradi wa Malagarasi nadhani unazungumzia huo,

Huu ni Mradi wa Rais Samia Chief Mwenyewe chief
Mkuu huu mradi umeanza 2017, kuanzia Tabora, kwenda kigoma kupitia urambo tabora, na mwaka jana mwishoni nilikuwa kaliua, hata sub station ilishakamilika, na wa kwenda katavi unapitia sikonge, ipole, inyonga hadi mpanda,
 
Sins hakika wewe pungu1 unaishi kgm au dunia gani naona hujui matumizi ya umeme unafikiri ni kuwasha taa nakuona tv kwamtu mwenye uwelewa hawezi tenganisha kilimo ,umeme na usafirishaji pia faham umeme ndio utaleta kiwanda cha mbolea ili ishuke kgm umeme utapandisha thamani yamazao yetu yote sikunyingine usiandike ujinga umeelewa?
 
Mkuu hakukua na haja ya kunitukana ungenielewesha tu ila shukrani sana[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Ulicho kiandika hakiendani na maisha ya watu wa kigoma, 98%ya watu wa kigoma wanategemea kilimo kutoka pori moja linaitwa Kagera nkanda, huo ndio mgodi wao wa dhahabu but pori hilo limepigwa pin, na huwaambii kitu kuhusu pori hilo,
 
Mkuu kwani waliomtangulia huu haukuwa wajibu wao?
Umemjibu jibu fupi lakini lilioenda degrees. Kwa sababu, watu wanaisifu awamu ya 5 kama vile miradi yote kaianza yeye na kuitekeleza. Kwa mfano, SGR, fly over ya TAZARA na Ubungo viliasisiwa awamu ya 4. Lakini ibada zote Ni kwa awamu ya 5 kama vile mtangulizi wake hakufanya kitu. Tukumbuke hizi awamu zinategemeana as if a chain. Juhudi za kila awamu zitambuliwe na tuache ushabiki wenye chuki binafsi
 
Hivi hawa wanaojipendekeza kutoa sifa kwa viongozi kwa kufanya mambo fulani, wakati ni wajibu wao kufanya wanayoyafnaya; Je, wanatumwa au wanajituma wenyewe?
Cc: Aliye anzisha uzi huu.
 
Hivi hawa wanaojipendekeza kutoa sifa kwa viongozi kwa kufanya mambo fulani, wakati ni wajibu wao kufanya wanayoyafnaya; Je, wanatumwa au wanajituma wenyewe?
Cc: Aliye anzisha uzi huu.
Kabla hajakujibu hebu nisaidie, Wewe umetumwa kucomment hapa au umejituma?
 
Samia sio wa Nchi hii ni WA viwango vya mbele huko.

Sio tuu Katavi na Kigoma bali hata kwenye sekta ya Afya Nchi nzima..Soma utekelezaji wa ujenzi vituo vya afya 221 kwa mpiga kwa mwaka huu tuu πŸ‘‡

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…