Rais Samia Suluhu chanzo cha ufaulu bora

Rais Samia Suluhu chanzo cha ufaulu bora

Tafuta Exposure acha uchawa, Kenya mfano kwenye mtala wao mpya wamefuta kabisa mitihani ya Taifa yaani hawana kitu kinaitwa National Exam, bado unaishi enzi za ujima kuzani kufaulu ndo kipimo cha elimu bora, Sijui huu ushamba utatutoka lini
Wanataka wajinga wengi ili waendelee kuwatawala
 
Hii tabia ya kusifu hata ujinga inaongezeka sana
Hadi wasomi wameiga
Mwendazake ndiyo aliendekeza huu upumbavu sasa unaenda kuota mizizi
Inatakiwa lianzishwe somo la ELIMU YA UTAMBUZI kuanzia ngazi ya primary mpaka chuo kikuu.
 
Kuwa siriasi basi hata kama ni uchawa!pesa za COVID za jana tu,leo zilete matokeo makubwa!!!??

Hii ni Siasa tu,watu wanacheza na namba kumfurahisha mkubwa na kulinda ajira zao.Kipindi Cha Kikwete,wanafunzi walifeli balaa,ma genius wa ccm wakaja na "big result now"matokeo makubwa sasa,hiyo agency ikiongozwa na profesa mmoja wa majararani.akaona dawa hapa ni kushusha alama za ufaulu Ili na wale vilaza wafaulu,wakafaulu!!!?

Kwahiyo kwa mabinti Hawa Tena kutoka shule za serikali kufaulu,ni mchezo tu,Siasa za kisenge,wanajitekenya na wanacheka wenyewe
Naona raha humu ndn mtu anaposema ukweli. Napata shda mtu anapoimba mapambio. Wataalam wa takwimu hawasemi hivyo - kwamba muda huo wa mwaka 1 unatosha kubadili mchakato mzm wa elimu, kuh walimu, mifumo, mitaala...nk kwa kiasi hicho. Ati shule 3 ktk 10(30%) za umma zmetusua. Linganisha idad ya shule, za serikali ya mama na za binafsi ndpo mtu aje na mapambio. Na kw nn kila mara za binafsi ndo ztegmewe kuongoza? Au mfumo wtu una walakini!? Unasifu kama vile huzjui shle zetu zlivo? WaTz iweni serious japo kidogo, majirani wanatuonaje! Tumetulia lkn tupotupo tu...duh! Ukifatlia sana unaeza kuta wanaoimba mapambio kwa sana, wtt wao, wajkuu...nk hawasomi ktk hizo shle za umma. Hzo ni za walala hoi...nk. Zmn zetu mtu anahonga mtt atoke shle binafsi aingie za umma...
 
Back
Top Bottom