MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Luteni Generali Yakubu, Mnadhimu Mkuu wa JWTZ naona kapewa ubalozi.Huyu ndani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Luteni Generali Yakubu, Mnadhimu Mkuu wa JWTZ naona kapewa ubalozi.Huyu ndani mkuu?
Chief of Staff "ametumbuliwa"
U-CDF asingeupata, kwa namna yoyote ile angeondoka tu na Mabeyo muda ukifika. Ila kama walivyosema wadau, Mabeyo must be on his way out.Katolewa kwenye equation ya succession plan za CDF
Mama this time anatuletea CDF kutoka Zenj
Pia inawezekana CDF General Venance Mabeyo anakaribia kustaafu, hivyo ili kutengeneza mazingira mazuri ya seniority na utii, second in command Luteni Jenerali Yacoub Mohamed ametafutiwa wadhifa nje ya jeshi ili atakaye mrithi CDF ajisikie ni senior bila kusahau cheo cha chief of Staff kitapata mtanzania mwingine ktk listi ya ma-senior au kuna atakaye rushwa vyeo kumrithi mnadhimu mkuu jeshini. Muda utatuambia.
Na waliopo yanga siku zote ndo huwa wako mkondo sahihi... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaaah mkuu, binadamu hatufanani views ndio maana kuna Simba na Yanga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]labda naye Ni jasusiWakati Nchi nyingine wanatuletea majasusi, sisi tunapeleka mlimbwende.
Kuna mdau kesha nikosoa Mkuu na nimekubaliana nae.Wee nae unachanganya madesa[emoji16][emoji16][emoji1787]
Huyu New Ambassador ni Hoyce sio Joyce Kiria
Kingine hiyo storee kumhusu huyo Joyce ni irrelevant
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mange Aliwahi Kusema Kwamba Hyo HT Ni Lesbian Kakubuhu [emoji1787][emoji1787]Wanajuabna na mama, hana hadhi ya ubalozi...... kwa uzoefu upi katika shghuli za serikali? Huyu Mama naye anaanza vituko vya karne
Kaka rudisha avatar yako ya picha ya mbowe kakaKwani ulitakaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kunichekesha KijanaHii Dunia haiko sawa kabisa. Yaani Hoyse Temu na Mnadhimu wa Jeshi la Tanzania ,Kamanda wa wanamaji, wako hadhi sawa sasa.Duuuuh!!!!
Beberu lake linasemaje?Jamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
Hatuwezi kujua pengine nae ni miongoni mwao!Wakati Nchi nyingine wanatuletea majasusi, sisi tunapeleka mlimbwende.
Siyo 3 bila?Jk 1 samia 0