Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wa mabalozi; wamo Hoyce Temu na Togolani Mavura

Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wa mabalozi; wamo Hoyce Temu na Togolani Mavura

Balozi Mteule Noel Emmanuel Kaganda

Biography – Mr. Noel Kaganda​

Adviser, Sixth Committee​

kaganda.jpg

Mr. Noel Emmanuel Kaganda joined the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation of the United Republic of Tanzania in January 2007, where he worked in the United Nations Section of the Department of Multilateral Cooperation.

He was a delegate at the sixty-second to sixty-sixth sessions of the United Nations General Assembly and participated in negotiations and adoptions of the Convention on Cluster Munitions (CCM), and Arms Trade Treaty (ATT). He also served as personal Assistant to the Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation.

From February 2012 to November 2014, Mr. Kaganda served as First Secretary at the Permanent Mission of the United Republic of Tanzania to the United Nations in New York, where he covered the General Assembly, United Nations Agencies, Funds and Programmes, and the Economic and Financial Committee (Second Committee).

He was an Adviser for Tanzania in the Open Working Group on Sustainable Development Goals. From July to November 2014 he served as a Coordinator of the African Group’s Second Committee Experts in New York.

He holds a Master of Laws (LL.M), with distinction, in International Human Rights and a Bachelor of Arts, with honours, in Criminal Justice and Policing from Birmingham City University, England. He also holds a Post-Graduate Diploma in Management of Foreign Relations from the Mozambique – Tanzania Centre for Foreign Relations. Mr. Kaganda is a national of Tanzania.
Noel, good job lad! Rais amechagua hapa.
 
Waliosomea diplomasia hawateuliwi ubalozi , wanateuliwa mamiss uchwara , CCM hakuna haja ya kusoma it's not what you know , but whom you know kijani kibichi oyeeeee .
 
23 May 2021

PRESIDENT SAMIA SULUHU HASSAN ATTENDING THE ONLINE MEETING WITH AFRICAN WOMEN LEADERS NETWORK


Source : michuzi tv

Balozi namba moja Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akishiriki mkutano wa kimataifa mtandaoni.

Kwa njia hii inaonesha balozi namba moja rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anahakikisha sera ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ya Tanzania inapata msukumo chanya hivyo kuwatia moyo na kuwapa visheni balozi namba 2 waziri wa masuala ya nje Mh. Liberata Rutageruka Mulamula na mabalozi wengine wengi namba 3 waliopo ktk utumishi na hawa wengine walioteuliwa jana.

Kwa namna hiyo mabalozi wote wa Tanzania watakuwa wanafahamu Mh. Rais anataka kurejesha ushawishi wa Tanzania kimataifa na kuibeba vyema diplomasia ya kiuchumi.

Foreign Policies are designed by the head of government with the aim of achieving complex domestic and international agendas. It usually involves an elaborate series of steps and where domestic politics plays an important role. In this paper I will critically analyze the role of head of government of a country in foreign policy decision making and how he is influenced by domestic politics. Foreign policies are in most cases designed through coalitions of domestic and international actors and groups....​

The Domestic political environment & Foreign policy

National leaders, especially the head of government has to play a two level game between international and domestic politics. According to Neack, the head of government in any kind of political system is motivated by two similar goals: retain political power and build and maintain policy coalitions.[2] The domestic politics can also influence him either because he wants to achieve domestic goals through foreign policies or he wants his foreign policy decisions not to interfere with domestic agendas.

Read more : The effect of domestic politics on foreign policy decision making

 
Hapana watu walitoa mapovu iweje ateuliwa balozi na kupewa Ukatibu mkuu kiongozi kwani wewe unaishai sayari gani?
Labda ni hao uliowasoma ambao hawakuelewa hoja kuu na wewe ukabaki na hiyo hoja ya u Balozi. Kuwa balozi kila mtu aweza teuliwa, haina vigezo vyovyote vya watu kuhoji. Watu walihoji u Katibu Mkuu Kiongozi na ninajua hata wewe unajua kwa nini watu walihoji, lakini unakimbilia kwenye kichaka cha u Balozi ambako unaona unaweza kuwa na ya kujadili. Umeshaambiwa huko hakukua na shida, tujadili kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
 
Rais Samia yupo vizuri akienda sambamba na dunia ya webinar na video conferences. Anatekeleza yale maneno aliyosema ikulu kwamba hatuwezi kufika popote kwa kwenda peke yetu ni lazima twende na wenzetu.

Hii miradi mikubwa anaweza kuimaliza mapema sana kwa njia hii ya kujichanganya na jamii za kimataifa.
 
Rais Samia yupo vizuri akienda sambamba na dunia ya webinar na video conferences. Anatekeleza yale maneno aliyosema ikulu kwamba hatuwezi kufika popote kwa kwenda peke yetu ni lazima twende na wenzetu.

Hii miradi mikubwa anaweza kuimaliza mapema sana kwa njia hii ya kujichanganya na jamii za kimataifa.

Mh. Rais inaonekana haogopi mitandao wala teknolojia ya habari na mawasiliano, inatutia moyo kuona kama kiongozi wa nchi anatumia fursa zote iwe face-to-face ( tête-à-tête / head to head meeting) au kutipia TEHAMA kuifikia jumuiya ya kimataifa, wafanyabiashara na watu wa kawaida yote kwa manufaa ya nchi.

Kiongozi lazima uendane na kasi ya mabadiliko ya teknolojia iwe kwake binafsi au kwa kutumia wasaidizi wake.

Siyo kama wakati wa awamu ya tano full viongozi kukwepa jumuiya ya kimataifa kwa visingizio vingi vya kutopenda safari, kuogopa video-conferencing, Zoom meeting, kujiwekea vikwazo kwa kutotumia lugha rafiki ya kimataifa ya biashara na diplomasia ya Kiingereza n.k
 
Mh. Rais inaonekana haogopi mitandao wala teknolojia ya habari na mawasiliano, inatutia moyo kuona kama kiongozi wa nchi anatumia fursa zote iwe face-to-face ( tête-à-tête / head to head meeting) au kutipia TEHAMA kuifikia jumuiya ya kimataifa, wafanyabiashara na watu wa kawaida yote kwa manufaa ya nchi.

Kiongozi lazima uendane na kasi ya mabadiliko ya teknolojia iwe kwake binafsi au kwa kutumia wasaidizi wake.

Siyo kama wakati wa awamu ya tano full viongozi kukwepa jumuiya ya kimataifa kwa visingizio vingi vya kutopenda safari, kuogopa video-conferencing, Zook meeting, kujiwekea vikwazo kwa kutotumia lugha rafiki ya kimataifa ya biashara na diplomasia ya Kiingereza n.k
Kuna baadhi ya matatizo ya kiuchumi utatuzi wake wakati wa awamu ya tano ulikuwa ndani ya mipaka ya uwezo wa uongozi wa juu wa nchi na pia yapo matatizo ambayo ni ya kidunia yenye kusumbua kila nchi.

Awamu ya sita ikipambana na kutatua yale matatizo yenye kuweza kutatulika inaweza kuifikisha mbali sana nchi kimaendeleo.

Hii njia ya kujichanganya kimataifa anayoitumia rais inatusaidia kupata ile positive image, ambayo yenyewe kama yenyewe ni mtaji tosha wa kukuza uchumi.
 
Back
Top Bottom