Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MATAGA mmekuwa wakiwa sana, mlimtegemea sana mungu wenu JiweBado nipo
Temu ana CV gani?CV zao huwa ni vichekesho
Sidhani kama umenielewa asee...mimi namuuliza huyo yehodaya maana kila comment anasema huyo Kanza afya yake blah blah upo?Nani kakupima kakuta wewe huumwi? When didi you last have your medical check up?
Hadi Hoyce Temu!
Huko kwingine anakogusa kutatishia usalama wa nchi mama apunguze spidiMnadhimu Mkuu wa Jeshi kakosa nini jamani sio kawaida kumtoa at this time.....kamficha ubalozini daaa maisha yaenda mbio
Huyu ni kati ya watu wa hovyo kabisa,Chief of Staff "ametumbuliwa"
Okay, maana kama ana miaka 42 jeshini na miaka hiyo watu walikuwa wanaingia wakubwa lets say 25.. Tayari anacheza na 67 hivi.Mabeyo alishastaafu two years back, Meko alimuongezea muda tu
Jakaya kikwete anaongoza nchi kupitia mlango wa nyuma...
Hawa slimy skunks sijui wanaandika mambo gani.Hii comment ifanyiwe lamination kwa maslahi mapana ya kitaifa
Fuatilia uzi mwanzo mwisho utaona cv yake, cv ya Temu si ya kitotoTemu ana CV gani?
Nadhani CDF ....amemuongoza hapo sio bure 6 Generals wameguswaHuko kwingine anakogusa kutatishia usalama wa nchi mama apunguze spidi
Ya chato betri zimekufaa!!!!!Naona kuna remote inaongoza nchi toka Msoga.
Dada anafaa sana kuwa balozi, ni mtu ambaye ameuishi ubalozi kwa muda mrefu tangu aanze kuwa maarufu.Huyu anajitambua
Nadhani kuna aina ya mlo unatuathiri ubongo hatujui tu. Yaani tuna inferior mind.Afrika hususani Tanzania kuna mentality fulani fulani za ajabu ajabu mpaka wakati mwingine unajiuliza hawa watu wana akili timamu kweli au ni magarasa tu
Tunaambiwa tusile ugali wa mahindi, unapunguza uwezo wa kifikiri lakini bado wabishiNadhani kuna aina ya mlo unatuathiri ubongo hatujui tu. Yaani tuna inferior mind.
Imefika sehemu mtu akisikia Fulani kateuliwa kuwa Fulani, basi ni kuponda tu. Mtu akisikia fulani katenguliwa nafasi aliyokuwa nayo, basi in SHANGWE na VIGELEGELE hata kama ni badiliko la kawaida tu.
Wabongo tuna shida sana.
1. Wivu
2.Roho mbaya.
Roho mbaya tu kaka,wtz wa siku hizi wana roho za sumu kama nyoka.Kwani hoyce temu alikufanyaje?
Yaani huna hata chembe ya tumaini la kuteuliwa?Kaa hapo hapo endelea kusubiri.