bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Kwani yeye amekosa nini hata asiteuliwe?Hadi Hoyce Temu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye amekosa nini hata asiteuliwe?Hadi Hoyce Temu!
Nimeridhika sana na hizi teuzi binafsi sababu kubwa ni kuwainua watu wenye experience na hizi kazi haswa kutokea MFA akina Togolani, James bwana na wengineo.
Napenda kujua wasifu wa Maulidah B Hassan maana ni junior sana ana amemaliza chuo hapo kenya miaka ya juzijuzi tuu akiwa na mdogo wake mange kimambi kwa mama wa kambo. Nildhani bora wangemchukua kijana kama Adam kuliko maulidah.( hisia za connection ndipo zinapoonekana hapa)
Hongereni sana mabalozi watarajiwa na Ndg Edwin anatisha sana na ni mbobezi wa diplomasia ya uchumi akiwa kama Export director pale Tantrade huyu angepelekwa hata East Asia ingependeza.
Kuteuliwa kunasemaje? Tuanzie hapo kwanza.Yaani huna hata chembe ya tumaini la kuteuliwa?
Hiyo itakuwa mada nyingine.Kuteuliwa kunasemaje? Tuanzie hapo kwanza.
Yaani wee acha tu, ni kuponda kwa kwenda mbele hata kama sisi hatuna uwezo wa kupata huo uteuzi.Nadhani kuna aina ya mlo unatuathiri ubongo hatujui tu. Yaani tuna inferior mind.
Imefika sehemu mtu akisikia Fulani kateuliwa kuwa Fulani, basi ni kuponda tu. Mtu akisikia fulani katenguliwa nafasi aliyokuwa nayo, basi in SHANGWE na VIGELEGELE hata kama ni badiliko la kawaida tu.
Wabongo tuna shida sana.
1. Wivu
2.Roho mbaya.
Dokta Slaa naye atakua miongoni mwa mabalozi 23 wanaostaafu nafasi zao ndio hawa 23 waloteuliwa na mheshimiwa raisi
Naomba mada nyingine irudiwee.Hiyo itakuwa mada nyingine.
Faida niliyoipata ni kuwa, sasa anatambua kuwa mimi sio mtu wa kujipendekeza na kujikombakomba kwa watu wasio waungwana.Kwa kufanya hivyo umepata faida gani mpaka sasa???!!!
Si kweli huyo anaitwa Joyce KiriaAlikuwa na kipindi chenel ten cha kusaidia watu wenye shida na matatizo mbalimbali.
Pia kwenye uchaguzi wa 2015 ndoa yake nadhani ilivunjika baada ya kukataa kumuunga mumewe mkono aliyekuwa anagombea jimbo la Mwanga kwa tiketi ya CHADEMA na yeye aliamua kumuunga mkono Magu. Hata hapa juzijuzi kuna mambo yalimsibu nadhani ndo kama kapewa pole.
Nadhani kuna aina ya mlo unatuathiri ubongo hatujui tu. Yaani tuna inferior mind.
Imefika sehemu mtu akisikia Fulani kateuliwa kuwa Fulani, basi ni kuponda tu. Mtu akisikia fulani katenguliwa nafasi aliyokuwa nayo, basi in SHANGWE na VIGELEGELE hata kama ni badiliko la kawaida tu.
Wabongo tuna shida sana.
1. Wivu
2.Roho mbaya.
Hahahahaaa Yanga chama la wana mkuu. Karibu kwa watoto wa jangwaniNa waliopo yanga siku zote ndo huwa wako mkondo sahihi... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninafikiri ulipaswa kusema hivi, "I don’t think she’s as smart as you think" na hayo maneno ya ziada niliyoya-bold hayakuwa na umuhimu wowote.Hmm…really??
I don’t think she’s as smart as you think she is.
Ninafikiri ulipaswa kusema hivi, "I don’t think she’s as smart as you think" na hayo maneno ya ziada niliyoya-bold hayakuwa na umuhimu wowote.
Poa brother. One love.Heheeeee okay!
Umeni quote mara mbili kuhusu hiki nilichokiandika
[emoji1787][emoji1787]
Sisi akili zetu safi sana! Kwani zakwake Dkt Slaa zina nini ukose kuzilnganisha na zakwetu? Usimshushe hadhi mzee wawatu.Bila kumtaja Dr Slaa hujaridhika.
Bado akili zake hazilinganishwi na yeyote.... Atarudi kuwasaidia vijana kama ninyi.
Kama ilivyo kawaida yako iliyozoeleka, tokea 2016!Naomba mada nyingine irudiwee.
Hapana watu walitoa mapovu iweje ateuliwa balozi na kupewa Ukatibu mkuu kiongozi kwani wewe unaishai sayari gani?Nadhani hujui. Kwa Bashiru issue ilikua ni u Katibu Mkuu Kiongozi siyo ubalozi. Najua utaendelea kubisha.
Hata kuwa balozi watu walimnanga tena hapa hapa JF!Bashiru alinangwa kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Uteuzi wa kuwa Balozi hauna shida. Mtu yeyote anaweza kuwa Balozi.
Amandla...
Kwani kupoteza muda kunasemaje?...Ni kupoteza muda tu!
Kunasema "kupuuza".Kwani kupoteza muda kunasemaje?