Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wa mabalozi; wamo Hoyce Temu na Togolani Mavura

Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wa mabalozi; wamo Hoyce Temu na Togolani Mavura

Nimeridhika sana na hizi teuzi binafsi sababu kubwa ni kuwainua watu wenye experience na hizi kazi haswa kutokea MFA akina Togolani, James bwana na wengineo.

Napenda kujua wasifu wa Maulidah B Hassan maana ni junior sana ana amemaliza chuo hapo kenya miaka ya juzijuzi tuu akiwa na mdogo wake mange kimambi kwa mama wa kambo. Nildhani bora wangemchukua kijana kama Adam kuliko maulidah.( hisia za connection ndipo zinapoonekana hapa)

Hongereni sana mabalozi watarajiwa na Ndg Edwin anatisha sana na ni mbobezi wa diplomasia ya uchumi akiwa kama Export director pale Tantrade huyu angepelekwa hata East Asia ingependeza.

Tusidanganyane connections zipo na zitaendelea kuwepo dunia nzima. Lazima jina lako lipate mtu wa kulipigia debe huko mbele hata kama wewe ni mfanyakazi hodari sana na unatumia masaa mengi kazini (mfano: huko Marekani wanakotamba na demokrasia na enzi ya Rais John Kennedy ndugu yake Robert Kennedy ndiyo alimteua Mwanasheria Mkuu, enzi ya Trump mkwe wake alimpa cheo kikubwa tu pale White house).

I don't think Maulida ni junior hata hivyo kwani amekuwa pale ikulu kwa Mama alipokuwa VP kwa miaka kidogo. Kwa hivyo siyo kwamba jina limetoka tu. Hata hivi karibuni si alipewa post fulani vile?
 
Nadhani kuna aina ya mlo unatuathiri ubongo hatujui tu. Yaani tuna inferior mind.

Imefika sehemu mtu akisikia Fulani kateuliwa kuwa Fulani, basi ni kuponda tu. Mtu akisikia fulani katenguliwa nafasi aliyokuwa nayo, basi in SHANGWE na VIGELEGELE hata kama ni badiliko la kawaida tu.

Wabongo tuna shida sana.
1. Wivu
2.Roho mbaya.
Yaani wee acha tu, ni kuponda kwa kwenda mbele hata kama sisi hatuna uwezo wa kupata huo uteuzi.
 
Dokta Slaa naye atakua miongoni mwa mabalozi 23 wanaostaafu nafasi zao ndio hawa 23 waloteuliwa na mheshimiwa raisi

Bila kumtaja Dr Slaa hujaridhika.
Bado akili zake hazilinganishwi na yeyote.... Atarudi kuwasaidia vijana kama ninyi.
 
Alikuwa na kipindi chenel ten cha kusaidia watu wenye shida na matatizo mbalimbali.

Pia kwenye uchaguzi wa 2015 ndoa yake nadhani ilivunjika baada ya kukataa kumuunga mumewe mkono aliyekuwa anagombea jimbo la Mwanga kwa tiketi ya CHADEMA na yeye aliamua kumuunga mkono Magu. Hata hapa juzijuzi kuna mambo yalimsibu nadhani ndo kama kapewa pole.
Si kweli huyo anaitwa Joyce Kiria
 
Nadhani kuna aina ya mlo unatuathiri ubongo hatujui tu. Yaani tuna inferior mind.

Imefika sehemu mtu akisikia Fulani kateuliwa kuwa Fulani, basi ni kuponda tu. Mtu akisikia fulani katenguliwa nafasi aliyokuwa nayo, basi in SHANGWE na VIGELEGELE hata kama ni badiliko la kawaida tu.

Wabongo tuna shida sana.
1. Wivu
2.Roho mbaya.
 
Bila kumtaja Dr Slaa hujaridhika.
Bado akili zake hazilinganishwi na yeyote.... Atarudi kuwasaidia vijana kama ninyi.
Sisi akili zetu safi sana! Kwani zakwake Dkt Slaa zina nini ukose kuzilnganisha na zakwetu? Usimshushe hadhi mzee wawatu.
 
Nadhani hujui. Kwa Bashiru issue ilikua ni u Katibu Mkuu Kiongozi siyo ubalozi. Najua utaendelea kubisha.
Hapana watu walitoa mapovu iweje ateuliwa balozi na kupewa Ukatibu mkuu kiongozi kwani wewe unaishai sayari gani?
 
Back
Top Bottom