Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje kuna ukiwa sana kuna mmoja nilienda ubalozini nchi flani anihudumie nikamkuta katulia anajishonea vitambaa alinisemesha sana nilipoenda pale ni kama aliona amepata kampani alifurahi sana na hata nikaona amefurahi nadhani ule upweke na tofauti za utamaduni zinawashinda baadhi ya watuNchi yetu ni maskini. Ni nchi ya dunia ya tatu...
Kwa hiyo unataka kutuambia hachanganyi na zake!Samia is listening too much to whatever JK is telling her.
Da, Kiongozi nikadhan ulijiua ili uende na Shujaa, kumbe upoIli iweje?
Ulitaka amsikilize Musiba na Sukuma Gang ?Samia is listening too much to whatever JK is telling her.
Punguza wivu mke mdogo.Ni mumeo?
Acha ujinga mkuuJamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
Sukuma gang nsimkwamishe mama tafadhaliJakaya kikwete anaongoza nchi kupitia mlango wa nyuma...
Unaniuliza mimi, au?!Kwani ukiwa miss/ mlimbwende baada hapo hautakiwi kufanya kazi nyingine au mtu yule ndio anakuwa ameharibika? huo ni mtazamo mbaya juu ya urembo, kwani urembo unatofauti gani na michezo mingine?
Mabeyo alishastaafu two years back, Meko alimuongezea muda tuU-CDF asingeupata, kwa namna yoyote ile angeondoka tu na Mabeyo muda ukifika. Ila kama walivyosema wadau, Mabeyo must be on his way out.
Tovuti ya jeshi inasema Mabeyo kajiunga na jeshi mwaka 1979, maana yake amekuwa jeshini miaka 42 sasa. If you do the math, muda unaelekea ukingoni au umeshapita.
Kaa hapo hapo endelea kusubiri.Binafsi, nasubiri uteuliwe nafasi yoyote, zaidi ya kuwa na hii ya JF miaka yote!
Wewe unaamini sana katika kusikiliza sikiliza ushauri kutoka kwenye group la watu? Hapaswi kumsikiliza yeyote. Urais haupaswi kuwa na ubia na mtu au kundi loloteUlitaka amsikilize Musiba na Sukuma Gang ?
Mpaka uongeze kwa kizungu cha ugoko, ha ha ha. Upuuzi mtupu.Nani kakupima kakuta wewe huumwi? When didi you last have your medical check up?
Bado nipoDa, Kiongozi nikadhan ulijiua ili uende na Shujaa, kumbe upo
Miss Tanzania mwenye heshima zake hongera Madam president kwa kumuona huyu lady atuwakilishe ughaibuni.Hadi Hoyce Temu!
see no evil, hear no evil, speak no evil[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utopolo
Huyu anajitambuaHadi Hoyce Temu!