Marekani mkuuSio kweli
SSH yupo Ulaya huko
Anasingiziwa
OkMarekani mkuu
Ukiwa Ulaya unavua urais au?😆😆 Unakasimu baadhi ya majukumu ila sio kukasimu Urais wala hakuna kaimu RaisSio kweli
SSH yupo Ulaya huko
Anasingiziwa
Sasa hii inahusiana nini na mada?Hii Katiba hii kama Rais asipokuwa makini itamfanya awe mungu-mtu.
Imempa mtu mmoja madaraka makubwa mno.
Mtulie tuli kama maji ya mtungini, hii ni zamu yetu, Sukuma gang mkubali matokea kwamba bwana yule is no more, inabidi mmoveon.Hii Katiba hii kama Rais asipokuwa makini itamfanya awe mungu-mtu.
Imempa mtu mmoja madaraka makubwa mno.
Ungekuwa na akili hata za kuvukia barabara ungeelewa.Sasa hii inahusiana nini na mada?
Sawa ngoja wasukuma tutulie. Na zile ajira 40,000 ziliishia wapi?Mtulie tuli kama maji ya mtungini, hii ni zamu yetu, Sukuma gang mkubali matokea kwamba bwana yule is no more, inabidi mmoveon.
Mwacheni mama achape kazi.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Online transactionSio kweli
SSH yupo Ulaya huko
Anasingiziwa
Umeniwahi kidogo tu kuuliza swali kama lako, Binadamu tumejaa unafki hadi tunanuka!Vipi wakristo wenzangu mbona hamuulizi ni dini gani? Maana mmejikausha kimya lakini ingekua jina la kiislamu moto ungewaka mara hii zamu ya mashehe binadamu tunamambo sana.
Umeniwahi kidogo tu kuuliza swali kama lako, Binadamu tumejaa unafki hadi tunanuka!
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app