Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa SADC

Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa SADC

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Rais wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Organ Troika, SADC Troika na Nchi zinazochangia Vikosi vya Jeshi katika Force Intervention Brigade (FIB) Windhoek nchini Namibia tarehe 08 Mei, 2023.

Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Fvml5RRWcAAS8I_.jpeg
 
8095bd48-f122-484c-a666-4795190d844e.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Organ Troika, SADC Troika na Nchi zinazochangia Vikosi vya Jeshi katika Force Intervention Brigade (FIB) Windhoek nchini Namibia tarehe 08 Mei, 2023. Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

2605a5bb-fc10-4992-be8c-6f87c380507b.jpg

bb834605-5592-40bc-b490-dca28ae90252.jpg

f19e493b-d6f5-4a8d-860b-d6f772183549.jpg

bdac9382-4e3f-4e92-8e40-7961b2bd517c.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Organ Troika, SADC Troika na Nchi zinazochangia Vikosi vya Jeshi katika Force Intervention Brigade (FIB) Windhoek nchini Namibia tarehe 08 Mei, 2023.

Viongozi wengine katika picha ni Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Tshisekedi, Rais wa Namibia, Hage Geingob, Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa pamoja na Viongozi wengine walioshiriki katika mkutano huo.
 
The end is near. M23 better find another battlefield. Eastern Congo is no longer place to hide.
 
Nchi imekuwa na mambo ya hovyo sana.Hivyo vikao vina umuhimu gani kwa taifa? Kuna mambo ya muhimu zaidi kushughulikia ndani ya nchi kuliko kupoteza mabilioni ya watanzania kwa mambo yasiyo na tija.
 
Nchi imekuwa na mambo ya hovyo sana.Hivyo vikao vina umuhimu gani kwa taifa? Kuna mambo ya muhimu zaidi kushughulikia ndani ya nchi kuliko kupoteza mabilioni ya watanzania kwa mambo yasiyo na tija.
Amani ya mashariki ya congo ni muhimu sana aseee kwa uchumi wa Tz na Afrika mashariki. Ama sivyo tukubali kumuachia Rwanda ajimegee CONGO anavyotaka
 
Nchi imekuwa na mambo ya hovyo sana.Hivyo vikao vina umuhimu gani kwa taifa? Kuna mambo ya muhimu zaidi kushughulikia ndani ya nchi kuliko kupoteza mabilioni ya watanzania kwa mambo yasiyo na tija.
Naunga mkono hoja.

#Free Dawa Juma.
 
Rais wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Organ Troika, SADC Troika na Nchi zinazochangia Vikosi vya Jeshi katika Force Intervention Brigade (FIB) Windhoek nchini Namibia tarehe 08 Mei, 2023.

Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).



Kagame amemwalika Rutto na kuja Tanzania kwa munufaa yake binafsi. Kagame amekuwa anacheza na akili za watu ndiyo maana vita haziishi
 
Back
Top Bottom