Hahahahaah 100%Kweli mkuu naona kigoma itakuwa kama kalifonyia
Utamwelewa tu.. ndo kwanza kesho anaapishwaWanataka kuliingiza taifa kwenye gharama za kujitakia😲😲😲😲😲,Mpango sijawahi Kumuelewa!
Nani anataka umbea? Umbea achia wapuuzi flani...yani si ambacho hatutaki wauza nchi kwa vipande vya fedha. Tunataka wazalendo basi...yani watu watakao hakikisha hamna ma escrow, kagoda, hamna kuhujumu umeme mpaka tuwashe majenereta, hamna ujambazi na uvamizi wa mabenki..yani hayo kwetu wanyonge ndio priority. Umbea hautanifanya niishi ila hayo yatafanya maisha yangu yawe bora zaidi.Kwa mama Samia mmegonga mwamba kwani yeye hana mpango na wauza fitina na umbea kama gang lenu mlivyo lelewa
Wewe ndio katika lile kundi la watu wasioijua njaa,🤲eti tusiombe kuongezewa mishahara.Nyie ipo siku mtaijua njaa Kwa Uwezo Wa Muumba Mbingu na Ardhi.PM awe Dr Doroth Gwajima uone moto utakavyowaka huko Serikalini, watakoma hata kuomba mshahara uongezwe Mei mosi. 😀 😀 😀 😀😀
Kwaiyo Mburahati alikuwa anawalisha MATANGO PORI wafuasi wake?😂Mburahati kachafukwa huko tweeter,katengua kumuunga mkono B mkubwa,kisa VP akutokea team Msoga.
Ni mfuasi wa Mburahati huyu mkuu 😂😂Tulia Ackson namjua, ni Naibu Spika wa Bunge
kusema na kutenda ni different stories. anyway mm mwenye nina matumaini makubwa kwa jamaaKeshawajibu..ataenzi mambo mazuri ya JPM
I agree!Nafasi imezbwa na mtu sahihi.
Mwanzo mzuri Mama Samia.
Hongera.
So long hajateuwa watu wa pre-2015, mimi na amani kabisa. Yani hapa napata moja moto moja baridi. Mtandao wa pre 2015 ulikuwa unatafuna hela hadi za vizazi vijavyo...wanasiasa wote wanaiba ila wale walikuwa sio binadamu wa kawaida. Hawana uchungu na taifa lao hata chembe, twiga anapanda ndege? Tembo wanaisha? Ujambazi kila kona? Need say more?kusema na kutenda ni different stories. anyway mm mwenye nina matumaini makubwa kwa jamaa
nafikiri tuwaachie wapiga kura. that not your decision to make.Haiwezekani jimbo la Makamu wa Rais akapita Mpinzani.. Kwa Mpango kule ACT wasahau tu
haha nimecheka ila sio kwa mazuri. sometimes najiuliza.. hivi mzee alikuwa halijui hili?Wasukuma mlitegemea mtapata VP eee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imekula kwenu, na kumbuka pale BOT panachunguzwa transaction zote kuanzia January, yule Msukuma mwenzenu wa hazina muandalieni ng'ombe wa kuchunga huko
yes na si kundi moja. kina lingine la 2015. hili nalo walikuja na style yao ya upigaji huku wakijivika kivuli cha uzalendo.So long hajateuwa watu wa pre-2015, mimi na amani kabisa. Yani hapa napata moja moto moja baridi. Mtandao wa pre 2015 ulikuwa unatafuna hela hadi za vizazi vijavyo...wanasiasa wote wanaiba ila wale walikuwa sio binadamu wa kawaida. Hawana uchungu na taifa lao hata chembe, twiga anapanda ndege? Tembo wanaisha? Ujambazi kila kona? Need say more?
Wafuasi wa Mburahati wengi hamnazo.Kwaiyo Mburahati alikuwa anawalisha MATANGO PORI wafuasi wake?[emoji23]
Kwani kuna shida, ahsante kwa kutufahamishahuyo mtoto wa jiwe yeye ni DAS morogoro na mume wake ni DAS kilosa
Nimecheka sana kwamba uncle alikuwa motivatorWhich is which, tuchukue la nani na tuache la nani. Za kuambiwa changanya na kwako. Mi nakula mlo mmoja kwa siku na maji ya kandoro na wanzangu 14mil alafu mtu aniambie tunatakiwa tukatoe misaada Canada!!! Dah mjomba alikuwa motivator sana.
Hatuwez hata sku1..Kwahiyo unataka tufanane mawazo kisa??