Rais Samia Suluhu Hassan aondoka Nchini kuelekea Dakar, Senegal kuhudhuria Mkutano

Rais Samia Suluhu Hassan aondoka Nchini kuelekea Dakar, Senegal kuhudhuria Mkutano

Uchawa na upambe umeharibu fikra za watanzania wengi tena kibaya zaidi wale walio katika rika la kuzalisha mali.
Vijana wanakua insipired na watu wa hovyo kama kina baba levo sijui mwijaku kuliko watu wa maana katika jamii, vijana wanaamini katika uchawa na dili kuliko kujituma.

Watanzania wanapenda sana kujadili petty issues kuliko mambo ya maana.
 
Taarifa katika Ukurasa Rasmi wa Twitter wa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango inasema, "Leo tarehe 06 Julai, 2022 nimeagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kabla ya Mhe. Rais Samia kuondoka kuelekea Dakar Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)"

View attachment 2282245

View attachment 2282244
Anarandaranda
 
Samia tembea kwa kadiri utakavyoona inafaa hii nchi Nyerere alishaharibu vichwa vya watu kwa siasa zake mbovu za kijamaa. Nchi gani machawa ndo wanaonekana prominent kwa jamii kuliko wasomi? Mtanzania anaguswa na habari za Manara kuliko mfumuko wa bei.
Wewe mwenyewe hapo inaonyesha ni chawa, utawaeleza nini waTanzania zaidi ya kuokoteza makombo ujaze tumbo!
 
Wewe mwenyewe hapo inaonyesha ni chawa, utawaeleza nini waTanzania zaidi ya kuokoteza makombo ujaze tumbo!
Chawa wewe uliyekua ukiishi kwa makombo ya yule dhalimu wa chato, najua kisu kimegusa mfupa pole sana.
 
Chawa wewe uliyekua ukiishi kwa makombo ya yule dhalimu wa chato, najua kisu kimegusa mfupa pole sana.
Hili jina unalotumia umeliazima kwa mwenyewe au imekuwaje?

Hebu kwanza kabla sijakutafutia chai yako nijihakikishie mwenyewe kwamba siyo yule ninayemfahamu humu JF.
 
Safiri mama nenda katengeneze mipango...utulete

Ova
 
Hili jina unalotumia umeliazima kwa mwenyewe au imekuwaje?

Hebu kwanza kabla sijakutafutia chai yako nijihakikishie mwenyewe kwamba siyo yule ninayemfahamu humu JF.
Chai kampe mamako na wajane wenzio mlioachwa na dhalimu wa chato.
 
Vijana wanakua insipired na watu wa hovyo kama kina baba levo sijui mwijaku kuliko watu wa maana katika jamii, vijana wanaamini katika uchawa na dili kuliko kujituma.

Watanzania wanapenda sana kujadili petty issues kuliko mambo ya maana.
Si unasikia radio zetu kuanzia asubuhi mpk jioni ni----

Ova
 
Si unasikia radio zetu kuanzia asubuhi mpk jioni ni----

Ova
Na hichi ndio serikali zote za kijamaa zimejaribu kupandikiza miaka nenda rudi, we angalia leo hii watu wako radhi kulipia elf 1 ili kusoma vitu vya kipuuzi kwa Mange lakini hawawezi lipia subscription hata ya dola 2 kwa websites zenye tija kwa maisha yao.
 
Yaani mngelijua, izo mask usoni hazisaidii chochote (scientifical fact)
 
Uwekezaji umeongezeka kwenye nini? Naomba mfano
Wamekuja watu kutoka Oman wapo Njombe, nenda Arusha katazame ongezeko la utalii. Nenda Pwani utazame viwanda vinavyoibuka kila kukicha. Tatizo lako masikio unayategesha kusikia habari mbaya tu. Wanakuja wageni wanatajirika mswahili anachojua ni kutafuta sababu ya kukosoa tu.
 
Back
Top Bottom