Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wanakua insipired na watu wa hovyo kama kina baba levo sijui mwijaku kuliko watu wa maana katika jamii, vijana wanaamini katika uchawa na dili kuliko kujituma.Uchawa na upambe umeharibu fikra za watanzania wengi tena kibaya zaidi wale walio katika rika la kuzalisha mali.
Kwa hiyo na yeye akili za kawaida ee?Rasirimali za kila aina zipo uwezo wa kuzitumia zikatengeneza pesa haupo, usishangae safari kuwa nyingi.
AnarandarandaTaarifa katika Ukurasa Rasmi wa Twitter wa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango inasema, "Leo tarehe 06 Julai, 2022 nimeagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kabla ya Mhe. Rais Samia kuondoka kuelekea Dakar Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)"
View attachment 2282245
View attachment 2282244
Unapanic nini sasa dada?Kuwa na adabu we malaya mi babako... tuheshimiane kama ulivyomheshimu yule nabii wa uongo... masihi Dajal wa Tanganyika alias Jiwe.
Wewe mwenyewe hapo inaonyesha ni chawa, utawaeleza nini waTanzania zaidi ya kuokoteza makombo ujaze tumbo!Samia tembea kwa kadiri utakavyoona inafaa hii nchi Nyerere alishaharibu vichwa vya watu kwa siasa zake mbovu za kijamaa. Nchi gani machawa ndo wanaonekana prominent kwa jamii kuliko wasomi? Mtanzania anaguswa na habari za Manara kuliko mfumuko wa bei.
Kama mwendazake alivyojijengea airport chatoAiport ihamishiwe karibia na Ikulu kurahisisha mambo.
Hiyo picha ya mwanzo nimeiweka kwenye fremu nitaiweka kwa kumbukumbu zangu.Kama mwendazake alivyojijengea airport chato
NDIO[emoji24]Unataka kumaanisha shobo za Kiingereza tu kinaliponza taifa la waswahili?
Chawa wewe uliyekua ukiishi kwa makombo ya yule dhalimu wa chato, najua kisu kimegusa mfupa pole sana.Wewe mwenyewe hapo inaonyesha ni chawa, utawaeleza nini waTanzania zaidi ya kuokoteza makombo ujaze tumbo!
Hili jina unalotumia umeliazima kwa mwenyewe au imekuwaje?Chawa wewe uliyekua ukiishi kwa makombo ya yule dhalimu wa chato, najua kisu kimegusa mfupa pole sana.
Acha akatengeneze mipangoNakutakia safari njema na urudi salama mama.
Chai kampe mamako na wajane wenzio mlioachwa na dhalimu wa chato.Hili jina unalotumia umeliazima kwa mwenyewe au imekuwaje?
Hebu kwanza kabla sijakutafutia chai yako nijihakikishie mwenyewe kwamba siyo yule ninayemfahamu humu JF.
Kwa uwekezaji unaozidi kuongezeka haiwezekani zikawa za kawaida. Ana maono sisi wengi wetu ni ubishi na hoja za kupinga zimetujaa.Kwa hiyo na yeye akili za kawaida ee?
Si unasikia radio zetu kuanzia asubuhi mpk jioni ni----Vijana wanakua insipired na watu wa hovyo kama kina baba levo sijui mwijaku kuliko watu wa maana katika jamii, vijana wanaamini katika uchawa na dili kuliko kujituma.
Watanzania wanapenda sana kujadili petty issues kuliko mambo ya maana.
Na hichi ndio serikali zote za kijamaa zimejaribu kupandikiza miaka nenda rudi, we angalia leo hii watu wako radhi kulipia elf 1 ili kusoma vitu vya kipuuzi kwa Mange lakini hawawezi lipia subscription hata ya dola 2 kwa websites zenye tija kwa maisha yao.Si unasikia radio zetu kuanzia asubuhi mpk jioni ni----
Ova
Uwekezaji umeongezeka kwenye nini? Naomba mfanoKwa uwekezaji unaozidi kuongezeka haiwezekani zikawa za kawaida. Ana maono sisi wengi wetu ni ubishi na hoja za kupinga zimetujaa.
Wamekuja watu kutoka Oman wapo Njombe, nenda Arusha katazame ongezeko la utalii. Nenda Pwani utazame viwanda vinavyoibuka kila kukicha. Tatizo lako masikio unayategesha kusikia habari mbaya tu. Wanakuja wageni wanatajirika mswahili anachojua ni kutafuta sababu ya kukosoa tu.Uwekezaji umeongezeka kwenye nini? Naomba mfano