Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Tukiwaambia kuwa marehemu alikuwa ni bladifakenii huwa hamsikii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Matusi Ya Nini?Tukiwaambia kuwa marehemu alikuwa bladifakenii huwa hamsikii!
Uzuri wote ni CCM.Huyu Mama anafanya Vitu Kwa Kufuraisha Watu, anataka Kuonekana hakubaliani na Mawazo ya Mtangulizi Wake. Angalia Hata Mradi wa Ujenzi Wa Kimara-kibaha Ni kama Umebuma Kabisa, Mradi Wa Hyo Barabara umekufa
Mawazo ya kijinga sana haya. Yaani bandari zife kwa kuongeza bandari? Mkataba uwekwe wazi tuone content kama zina maslahi bandari ijengwe, kama hauna maslahi urekebishwe uwe na maslahi kwetu bandari ijengwe. Ya dar es salaam pia na nyingine ziboreshwe. Tuachane na kukariri na woga wa kupigwa tu. Ss sio mafala wala wanyonge.Bandari ya Dar kwaheri, Mtwara na Tanga adios,
Kwaheri Tanzania karibu mkoloni.
Mkuu Huu Ndio Wakati wenu Nyie Cdm kushine Sasa, queen [emoji219] Ni dhaifu SanaUzuri wote ni CCM.
Yaani mtu akiiba kisha akaitwa kuwa ni mwizi ni matusi?Au mwanaume wa mapenzi ya jinsia moja akaitwa kuwa ni mse*ge ni matusi?Unaelewa maana ya matusi?Sasa Matusi Ya Nini?
Mkwere mtu mmoja wa mjini sanaWakati akiongea na Baraza La Wafanyabiashara Samia Amesema Kwamba Mazungumzo ya Kufufua Ujenzi Yanaendelea Na Wako Kwenye Mazungumzo. Ni Kwamba Hayati Kuukataa Huo Mradi Hakuwa Sahihi?View attachment 1830552
Unaamini queen [emoji219] atautoa Huo Mkataba?Mawazo ya kijinga sana haya. Yaani bandari zife kwa kuongeza bandari? Mkataba uwekwe wazi tuone content kama zina maslahi bandari ijengwe, kama hauna maslahi urekebishwe bandari ijengwe. Ya dar es salaam pia na nyingine ziboreshwe.
Nani akuwekee mkataba ndugu sahau hilo,Mawazo ya kijinga sana haya. Yaani bandari zife kwa kuongeza bandari? Mkataba uwekwe wazi tuone content kama zina maslahi bandari ijengwe, kama hauna maslahi urekebishwe bandari ijengwe. Ya dar es salaam pia na nyingine ziboreshwe.
Asipoutoa tuna kila sababu ya kuwa na wasiwasi na haki ya kumuanini JPM.Unaamini queen [emoji219] atautoa Huo Mkataba?
Haujafa mbona mapipa yapo njia nzima na usiku ndio hatari😄😀😄😀😄Huyu Mama anafanya Vitu Kwa Kufuraisha Watu, anataka Kuonekana hakubaliani na Mawazo ya Mtangulizi Wake. Angalia Hata Mradi wa Ujenzi Wa Kimara-kibaha Ni kama Umebuma Kabisa, Mradi Wa Hyo Barabara umekufa
Usipowekwa binafsi nitasimama na maneno ya JPM na kujaribu kuangalia na kupima ni kwann tumeamua kupita njia hiyo.Nani akuwekee mkataba ndugu sahau hilo,
Kama Yapi Mkuu?Safi tumezubaa bandari ya bagamoyo itakua na manufaa makubwa kwa nchi na afrika kwa ujumla
Tatizo jiwe alidhani Nchi kama kijiwe chake anaamua anavyotaka yeye ni ujingaHuyu Mama anafanya Vitu Kwa Kufuraisha Watu, anataka Kuonekana hakubaliani na Mawazo ya Mtangulizi Wake. Angalia Hata Mradi wa Ujenzi Wa Kimara-kibaha Ni kama Umebuma Kabisa, Mradi Wa Hyo Barabara umekufa
Sasa nyie mlikua mnataka chato tu ndio iendelee?Mkwere mtu mmoja wa mjini sana
Najisikia Kama mwili unasisimka kwa hofu...sijui kwaniniWakati akiongea na Baraza La Wafanyabiashara Samia Amesema Kwamba Mazungumzo ya Kufufua Ujenzi Yanaendelea Na Wako Kwenye Mazungumzo. Ni Kwamba Hayati Kuukataa Huo Mradi Hakuwa Sahihi?View attachment 1830552
Sasa kama hata manufaa ya bandari huyajui unafanya nini hapa?Kama Yapi Mkuu?
Mie sio mtu wa chato wala kanda ya ziwa, ila Na kwetu pia kuna miradi ya maendeleo. Ni myie mna wivu na wasukuma...Sasa nyie mlikua mnataka chato tu ndio iendelee?