Rais Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara

Huyu Mama anafanya Vitu Kwa Kufuraisha Watu, anataka Kuonekana hakubaliani na Mawazo ya Mtangulizi Wake. Angalia Hata Mradi wa Ujenzi Wa Kimara-kibaha Ni kama Umebuma Kabisa, Mradi Wa Hyo Barabara umekufa
Haya subiri huo mradi mtakuja kulia kama ilivyo gesi ya mtwara maana najua hapo mama hana uwezo wa kujisimammia anachokiamini atasikiliza watu especially msoga haitamwacha salama. Mama mara liganga na mchuchuma anataka pia waanze na amesema hata madini yakiwa kwenye hifadhi wachimbwe anaharaka gani huyu mama?
 
Mama hana msimamo, atakavyoambiwa na wazee wa madili mdivyo atavyofanya
 
Mkuu Kimsingi lazima tubadilike kifikra na ndipo tutaweza kujenga mifumo iliyoimara na taasisi zilizo bora.
 
Huyu Mama anafanya Vitu Kwa Kufuraisha Watu, anataka Kuonekana hakubaliani na Mawazo ya Mtangulizi Wake. Angalia Hata Mradi wa Ujenzi Wa Kimara-kibaha Ni kama Umebuma Kabisa, Mradi Wa Hyo Barabara umekufa
Hajakosea, hata Magufuli hakukubaliana na mambo mengi yabKikwete, hivyo hiyo spirit inaendelea
 
Kwa Hyo Huyu Ataaonesha Huo Mkataba Ulivyo Mzuri??
Anayo nafasi ya kurekebisha makosa au dosari za mkataba lkn aepuke mkataba aliousema Magufuli kuwa wachina wataimiliki bandari kwa miongo kadhaa, bali uwe terms za win win
 
I'm confused... Naomba darasa. What has changed?
Kwanini tumlaum Samia kujifanyia mambo ilhal watangulizi wake nao walijifanyia na kuacha ya watangulizi wao?
Anzia Mwinyi, BM, JK na JPM wote walijifanyia mambo yao.
Kuepuka hili tudai katiba vinginevyo kwa utamaduni usio rasmi wa kujifanyia mambo utadumu miaka mingi
 
Reactions: Ame
Hakuwa Malaika jiulize kwa nini ilisemwa mkataba ni mbovu lakini hakuonesha kwa maandishi zaidi ya kusema tu ni mbovu na huu nao hatujui uhalisia wake ukoje maana yote yanafanana
Kwa sasa hakuna mkataba,ila mama kasema wanajadiliana upya
 
Mkuu kusubiri mkataba uwekwe wazi ili ondoa mkuu kimsingi utashi kama kaagiza watu wakajadiliane sina hakika kama tutafaidika na uo mradi, Uzuri wa Magufuli alikuwa mfatiliaji na mama mwenyewe alikiri kuwa yule alikuwa na uwezo wa pekee ila Mama akajisema yeye ni mtu wakucheza na ghaph tu zimepanda zimeshuka basi..! Kwa maana hi mama ni mtu anaesubiri watu wamchoree aletewe mezani asaini basi.

Uadilifu kwenye nchi yetu ni zero na ndiyo maana Magufuli alikuwa anakulanao sahani moja, sio ajabu katika nchi yetu watu ambao wameambiwa wakajadiliane na ao wawekezaji wakapelekwa ughaibuni na hiyo kampuni, kule wakala bata wakaonyeshwa mifano ya bandari kama hizo huko Dubai wakapewa maipad na kulazwa mahotel makubwa na mwisho wa siku wakala posho zakutosha toka kwaiyo kampuni na wakasaini mambo yaende bila kujali maslahi ya taifa ni kawaida tu kitu kama hiki kilikuwa awamu ya 4.

Mradi wa Julius Nyerere Hydroelectric power usingejengwa kama Magu angekuwa mlaini usingefanyika cos aliwapa watanzania kazi wafanye tafiti athari gani zitatokana na ile project na watoe mapendekezo jinsi gani tufanye kuovercome hizo impact ila ajabu ya watanzania wale walishauri eneo la mradi hapatakiwi kudobdokewa ata tone la oil na choo kiwe km 10 toka eneo la mradi unapotekelezwa..! Hawa ndiyo watanzania.
 
expansion Joint tenaπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Unafiki unawasumbua.kinachokufanya usisimke ni nini?
Unafiki wa Nini Tena Ndugu yangu...mwenzio Nina hofu tu...nifariji kwa kunipa pole na siyo unavyofanya kunikejeli...
 
Mkataba uwekwe wazi tuone hayo aliyosema kama ni ya kweli. Jiwe alikuwa mwongo sana na mdanganyifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…