Lucas KAZI yake ndiyo hiyo pekee.Kwani Lucas ni permanent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas KAZI yake ndiyo hiyo pekee.Kwani Lucas ni permanent
Tangu nyakati za NDIYO na HAPANA ilkuwa ukiweka HAPANA ni hapana mwingine na waliendelea "kushinda" na kuapishwa.Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.
Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.
2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.
3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.
Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.
Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Lucas analipwa mi silipwi!Tofauti Yako wewe na Lucas, uchawa kwako ni part time job!!
Atashindana na nani na kwa tume ipi ya uchaguzi??Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.
Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.
2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.
3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.
Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.
Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
mpinzani sio lazima atoke nje ya ccm. Yupo mtu ambaye sio mashuhuri ila mwenye kibali cha Mungu kuongoza taifa 2025, hatokua bi churaNi mpinzani gani wa Samia nje ya ccm ambaye ana sifa ya kuwa tz president? Tunge anzia hapo kwanza
Chura kiziwi ni kiburi kuliko hata hayati JPM, anakutazama na kutabasamu mbele yako halafu anaendelea na msimamo wake ule ule wa jana na juzi.Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.
Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.
2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.
3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.
Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.
Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Tuta kumbushana mda ukifikampinzani sio lazima atoke nje ya ccm. Yupo mtu ambaye sio mashuhuri ila mwenye kibali cha Mungu kuongoza taifa 2025, hatokua bi chura
Tuta kumbushana mda ukifikampinzani sio lazima atoke nje ya ccm. Yupo mtu ambaye sio mashuhuri ila mwenye kibali cha Mungu kuongoza taifa 2025, hatokua bi chura