Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100%✓Wadau nataka niseme.
Mama Ssmia ni lazima atashinda Urais mwaka 2025.
Kijiti alichorithi toka kwa mtsngulizi wske kilikuwa kizito.
Mbowe alikuwa lupango akiwa na kesi ya uhaini.
Akipokea kijiti, mtu akiw CHADEMA ni kama mtu snayenuka kinyesi. Hata wana CCM usipounga juhudi za Mwenyekiti unabambikwa kesi ya uhujumu.
Wawekezaji walikuwa wanatokomea kwa kiwango cha kutisha. Wafanyabiashara wengi walikuwa wznarudisha leseni za biashara.
Kwa kifupi tulikuwa tunaishi in a Police Stae.
Sasa hivi watu wana uhuru wa kuongea bila wasi wasi wowote.
Na sasa hiviwatu wanaanzisha biashara kulingana na matskwa yao.
Kwa nini tusimpe mama MITANO TENA?
Wadau nataka niseme.
Mama Ssmia ni lazima atashinda Urais mwaka 2025.
Kijiti alichorithi toka kwa mtsngulizi wske kilikuwa kizito.
Mbowe alikuwa lupango akiwa na kesi ya uhaini.
Akipokea kijiti, mtu akiw CHADEMA ni kama mtu snayenuka kinyesi. Hata wana CCM usipounga juhudi za Mwenyekiti unabambikwa kesi ya uhujumu.
Wawekezaji walikuwa wanatokomea kwa kiwango cha kutisha. Wafanyabiashara wengi walikuwa wznarudisha leseni za biashara.
Kwa kifupi tulikuwa tunaishi in a Police Stae.
Sasa hivi watu wana uhuru wa kuongea bila wasi wasi wowote.
Na sasa hiviwatu wanaanzisha biashara kulingana na matskwa yao.
Kwa nini tusimpe mama MITANO TENA?
Mkuu hakuna mnyonge, mtegemezi anayempenda wajiri.Yote uliyosema ni kweli kabisa lakini sijui ni kwa nini wananchi wengi wa kawaida hawamkubali.
Nafikiri watanzania wengi wanapenda siasa alizofanya jpm na hizi anazofanya Makonda.
Zile siasa za kumkemea mwenye nacho na kumpetipeti mnyonge.
Siasa hizo Rais Samia Hana. Jambo linalofanya wananchi wamwone sio rais wa wanyonge
Abood: Ukiona wanamsifia, jua wametoka kuiba!!Wadau nataka niseme.
Mama Ssmia ni lazima atashinda Urais mwaka 2025.
Kijiti alichorithi toka kwa mtangulizi wake kilikuwa kizito.
Mbowe alikuwa lupango akiwa na kesi ya uhaini.
Akipokea kijiti, mtu akiwa CHADEMA ni kama mtu anayenuka kinyesi.
Hata wana CCM usipounga mkono juhudi za Mwenyekiti unabambikwa kesi ya uhujumu.
Wawekezaji walikuwa wanatokomea kwa kiwango cha kutisha. Wafanyabiashara wengi walikuwa wanarudisha leseni za biashara.
Kwa kifupi tulikuwa tunaishi in a Police State.
Sasa hivi watu wana uhuru wa kuongea bila wasi wasi wowote.
Na sasa hivi watu wanaanzisha biashara kulingana na matakwa yao.
Kwa nini tusimpe mama MITANO TENA?
Atagombea tu, hata kupitia CHADEMA na atashinda.Mkuu Samia hatogombea
Nyie ndio mambumbumbu swuared ambao mnategemea vya kuletewa mezani.Abood: Ukiona wanamsifia, jua wametoka kuiba!!
Kiukweli,
HATOGOMBEA!!
Tofauti Yako wewe na Lucas, uchawa kwako ni part time job!!Nyie ndio mambumbumbu swuared ambao mnategemea vya kuletewa mezani.
Hamjishughulishi wala kujipa shida katika kutafuta njulugu.
Chini ya mama watu wanachakarika kutafuta pesa, na wanazipata.
Nyie kaeni vijiweni mkinywa gahwa!
Wewe na nani?Anza kuhesabu kura atakazokosa.
Mimi sitompigia kura
Kwani Lucas ni permanentTofauti Yako wewe na Lucas, uchawa kwako ni part time job!!