Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan atashinda urais 2025 asubuhi na mapema

Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan atashinda urais 2025 asubuhi na mapema

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Kwani tume si ndio ileile na wizi wa kura haujakoma!
Walete mezani na Ile mikataba mingine waliyosaini ili tupate uhondo wa kweli tusiyumbishane.
Na hakuna anayekataa uwekezaji ila yaliyomo ndani ndio laana!!
 
Kwani tume si ndio ileile na wizi wa kura haujakoma!
Walete mezani na Ile mikataba mingine waliyosaini ili tupate uhondo wa kweli tusiyumbishane.
Na hakuna anayekataa uwekezaji ila yaliyomo ndani ndio laana!!
Tulia
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Waodhani kuwa Tundu Lissu au Dkt Slaa watakuwa Marais hilo halipo kamwe
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Aruhusu tubadili katiba na tuwe na tume huru ya uchaguzi kabla ya hiyo 2025, hapo ndiyo utajuwa jua la asubuhi linavitamin au halina.
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Afya itaruhusu? Mungu amekubaliana na wewe na familia yako.

Mkiwa madarakani mnapoteza uwezo wa kuangalia maoni ya Watanzania mko zaidi kwa maslahi binafsi, washkaji, ndugu familia,chawa.
 
Anza kuhesabu kura atakazokosa.

Mimi sitompigia kura
wasukuma hawamuelewi hata kidogo, cha ajabu kabsa wanawake ndio hawamwelewi kabsa ukiwatajia samia ni kama umewatajia waislamu kitimoto mbele za watu!
 
wasukuma hawamuelewi hata kidogo, cha ajabu kabsa wanawake ndio hawamwelewi kabsa ukiwatajia samia ni kama umewatajia waislamu kitimoto mbele za watu!
Kazi ipo
 
Siku zote kaaa ukijua mwizi hajawai kushindwa kuiba ila hapohapo ujue huyo mwizi ana 40 zake japo hatuzijui
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Aisee kazi tunayo. ..Mwambieni atoe na ile mokataba 29 iliyobaki tuione....

sakata la DP W Ni moja tun kati ya mambo maelfu ya hovyo aliyofanya samia hata kama akichana nalo haimpi ncredit ya kuwa kiongozi bora
 
Huko alipo ameshatepeta na kwa jinsi hili saga linavyoenda basi n wazi mwisho wake ni hapo 25
 
Mama Sam ameungana na AHM, BM, na JK kukivusha chama kutoka udokozi na ujambazi wa hapa na pale hadi uharamia wa kupora na kuhamisha rasilimali za ‘masikini Bongo’.

Hii ndiyo hatua ya mwisho ya uharamia kwa chama cha siasa au kiongozi wa nchi masikini.

Hata akirudi kwenye uongozi baada ya muhula huu atandelea tu kusindilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la chama chake kwa kukomba kila kilichobakia.
 
Back
Top Bottom