NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Mkuu hilo litawezekana kama atapitishwa na mamlaka mbili nazo ni ;-
1.Mungu mwenye uhai wake hadi hapo 2025,yaani mtangulizi wake alizaliwa kama alivozaliwa Huyu hivyo hana maajabu YEYOTE KWA MUNGU mwenye uhai wake!!!
2.Deep state na TEC ikiwemo hadi SASA waraka wa tec ni kizuizi tosha kabisa kwake!!
Mengine ni majaaliwa ya maulana!
1.Mungu mwenye uhai wake hadi hapo 2025,yaani mtangulizi wake alizaliwa kama alivozaliwa Huyu hivyo hana maajabu YEYOTE KWA MUNGU mwenye uhai wake!!!
2.Deep state na TEC ikiwemo hadi SASA waraka wa tec ni kizuizi tosha kabisa kwake!!
Mengine ni majaaliwa ya maulana!