Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio umemaliza ama unaendelea?Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.
Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.
2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.
3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.
Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.
Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Iingizwe kwenye hansard ipi ya masaburi yako labda.Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.
Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.
2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.
3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.
Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.
Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Tulia hizi ni rumours tuIingizwe kwenye hansard ipi ya masaburi yako labda.
Rais anayeongoza watanzania wauawe ili wajomba zake wa nje ya nchi waingie na kujenga mahoteli ya kitalii ?
Rais anayeratibu Rushwa na kugawa raslimali za taifa kwa wajomba wake wa Nje ya nchi hadi ndege ya rais? iliyonunuliwa na kodi za watanzania Kuzuiliwa na rais kujidhalilisha kurudi kwa public transport?
Rais anayehamasisha rushwa kwa viongozi wenzake kwamba kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake?
Huyu atapita kwa mbinde na rushwa tu! ama sivyo itabidi atengeze kesi milioni 60 za uhaini.
sasa una uhakika gani safari hii kura haziwezi kubakwa tenaMagufuli awamu ya kwanza tulimpa kura.
Awamu ya pili alibaka kura
Wataiba chache na si zotesasa una uhakika gani safari hii kura haziwezi kubakwa tena
Haha yaan chama hakina ofisi, hakina hata kiongoz mmoja wa kata au kijiji kitashindaje uchaguzi, na ujue huko vijijin mambo ya mitandao ya kijamii hawana ,hata network kupatikana shida, utawasiliana kwa njia gani ?Huko vijijini hakuna ofisi za simba wala yanga. Je team hizo hazina mashabiki? Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio wanaamini kwenye ofisi. Kizazi cha sasa hakihitaji ofisi. Na isitoshe uchaguzi ni kuchagua mtu sio jengo la ofisi. Ofisi zingekuwa na maana tusingeona chaguzi za kishenzi hivi.
Hakuna mwenye tatizo na watu waliolala, tunataka uchaguzi uheshimiwe ili hao wanaoshindia huko kwenye ofisi zwvijijini washindie huko huko. Zamani mlikuwa na propaganda kuwa vijana hawapigi kura, wakawa wanajitokeza kwa wingi mkaamua kuleta magari ya kuwasha.Haha yaan chama hakina ofisi, hakina hata kiongoz mmoja wa kata au kijiji kitashindaje uchaguzi, na ujue huko vijijin mambo ya mitandao ya kijamii hawana ,hata network kupatikana shida, utawasiliana kwa njia gani ?
Acha tuoneWataiba chache na si zote
Viva SamiaWengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.
Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.
2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.
3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.
Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.
Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Urais wa Pemba au?Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.
Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.
2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.
3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.
Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.
Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Kama kawaidaWengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.
Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.
2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.
3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.
Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.
Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
UCHAGUZI AU UCHAFUZI?TANZANIA HAKUNA UCHAGUZI MIAKA YOTE HUWEZI KUWA NA UCHAGUZI WAKATI TUME INAYOSIMAMIA UCHAGUZI SIO HURU NI TUME YA CHAMA CHAKO VIONGOZI NA WATENDAJI WA TUME UNAWATEUA WEWE NA KUWALIPA MISHAHARA .Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.
Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.
2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.
3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.
Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.
Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Kwani wewe ulicholeta ni mtazamo wako au mtazamo wa nchi nzima?Huu ni mtazamo wako