Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan atashinda urais 2025 asubuhi na mapema

Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan atashinda urais 2025 asubuhi na mapema

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama katiba itakuwa bado ni hii tuliyonayo pamoja na tume ya uchaguzi hii tuliyonayo basi ni wazi kwamba hapatakuwa na uchaguzi bali kiini macho tu.
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Ndio umemaliza ama unaendelea?
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Iingizwe kwenye hansard ipi ya masaburi yako labda.
Rais anayeongoza watanzania wauawe ili wajomba zake wa nje ya nchi waingie na kujenga mahoteli ya kitalii ?
Rais anayeratibu Rushwa na kugawa raslimali za taifa kwa wajomba wake wa Nje ya nchi hadi ndege ya rais? iliyonunuliwa na kodi za watanzania Kuzuiliwa na rais kujidhalilisha kurudi kwa public transport?
Rais anayehamasisha rushwa kwa viongozi wenzake kwamba kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake?
Huyu atapita kwa mbinde na rushwa tu! ama sivyo itabidi atengeze kesi milioni 60 za uhaini.
 
Hatujakataa ushindi ndugu mleta mada, ila mbona bado ni mapema sana? Bado tupo kwenye DIPI ! 😄
 
Iingizwe kwenye hansard ipi ya masaburi yako labda.
Rais anayeongoza watanzania wauawe ili wajomba zake wa nje ya nchi waingie na kujenga mahoteli ya kitalii ?
Rais anayeratibu Rushwa na kugawa raslimali za taifa kwa wajomba wake wa Nje ya nchi hadi ndege ya rais? iliyonunuliwa na kodi za watanzania Kuzuiliwa na rais kujidhalilisha kurudi kwa public transport?
Rais anayehamasisha rushwa kwa viongozi wenzake kwamba kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake?
Huyu atapita kwa mbinde na rushwa tu! ama sivyo itabidi atengeze kesi milioni 60 za uhaini.
Tulia hizi ni rumours tu
 
Huko vijijini hakuna ofisi za simba wala yanga. Je team hizo hazina mashabiki? Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio wanaamini kwenye ofisi. Kizazi cha sasa hakihitaji ofisi. Na isitoshe uchaguzi ni kuchagua mtu sio jengo la ofisi. Ofisi zingekuwa na maana tusingeona chaguzi za kishenzi hivi.
Haha yaan chama hakina ofisi, hakina hata kiongoz mmoja wa kata au kijiji kitashindaje uchaguzi, na ujue huko vijijin mambo ya mitandao ya kijamii hawana ,hata network kupatikana shida, utawasiliana kwa njia gani ?
 
Haha yaan chama hakina ofisi, hakina hata kiongoz mmoja wa kata au kijiji kitashindaje uchaguzi, na ujue huko vijijin mambo ya mitandao ya kijamii hawana ,hata network kupatikana shida, utawasiliana kwa njia gani ?
Hakuna mwenye tatizo na watu waliolala, tunataka uchaguzi uheshimiwe ili hao wanaoshindia huko kwenye ofisi zwvijijini washindie huko huko. Zamani mlikuwa na propaganda kuwa vijana hawapigi kura, wakawa wanajitokeza kwa wingi mkaamua kuleta magari ya kuwasha.

Sasa hivi mnajifanya sijui mnashindia vijijini, cha ajabu lazima mlete mabox ya kura zilizojaa, na kulazimisha kupita bila kupigwa. Kwa kukusaidia tu, hata wapinzani wasipopata hata kura moja huko vijijini unakosema, bado kwa maeneo ya mjini wanaweza kuwa na kura zaidi ya 40% za urais, na huko bungeni wana uwezo wa kuvuka 40% ambayo itawanyima CCM 2/3 ya kufanya maamuzi watakavyo. Ukiona kuna wizi wa kura sio wanapenda, ila ukweli ndio huo. CCM sio chama cha kizazi hiki, labda useme huko vijijini wako wazee tu.
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Viva Samia
Viva CCM
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Urais wa Pemba au?
Hata wanawake wenzake hawataki hata kumsikia
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
Kama kawaida
 
Wengi mmekuwa mkiamini kuwa kwa hali inayoendelea nchini,Samia ataogopa kugombea 2025 au hata akigombea atashindwa!!Niwaambie tu hili halitakaa litokee.

Zifwatazo ni sababu kuu tatu...
1.Chama tawala cha CCM bado hakijazidia hoja na upinzani hata kidogo.

2.Shinikizo liliopo kutaka kumyumbisha rais halitoshi hata kidogo!! Kwan suala la DP world litaendelea kama kawaida na litafanyiwa marekebisho kidogo kwenye mapungufu ililiwe na tija zaidi kwa taifa.

3.Utulivu unaoonyesha na Samia kama kiongoz wa nchi unaonyesha hajashindwa hata kidogo kuongoza hii nchi licha ya msukumo mkubwa wakutaka kumyumbisha.

Mwisho tukutane 2025 november kushuhudia kuapishwa kwa Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030.


Hii thread iingizwe kwenye Hansad.
UCHAGUZI AU UCHAFUZI?TANZANIA HAKUNA UCHAGUZI MIAKA YOTE HUWEZI KUWA NA UCHAGUZI WAKATI TUME INAYOSIMAMIA UCHAGUZI SIO HURU NI TUME YA CHAMA CHAKO VIONGOZI NA WATENDAJI WA TUME UNAWATEUA WEWE NA KUWALIPA MISHAHARA .
HUWEZI KUWA NA UCHAGUZI HURU WAKATI KATIBA HAIRUHUSU KUHOJI MATOKEO YA URAIS HATA KAMA UCHAGUZI UNA
DOSARI
HUWEZI KUWA NA UCHAGUZI HURU WAKATI WASIMAMIZI WOTE WA UCHAGUZI NI MAKADA WA CHAMA CHAKO NA WEWE NDIO UNA WATEUA NA KUWALIPA MISHAHARA .
 
Wadau nataka niseme.
Mama Ssmia ni lazima atashinda Urais mwaka 2025.
Kijiti alichorithi toka kwa mtangulizi wake kilikuwa kizito.
Mbowe alikuwa lupango akiwa na kesi ya uhaini.
Akipokea kijiti, mtu akiwa CHADEMA ni kama mtu anayenuka kinyesi.
Hata wana CCM usipounga mkono juhudi za Mwenyekiti unabambikwa kesi ya uhujumu.
Wawekezaji walikuwa wanatokomea kwa kiwango cha kutisha. Wafanyabiashara wengi walikuwa wanarudisha leseni za biashara.
Kwa kifupi tulikuwa tunaishi in a Police State.
Sasa hivi watu wana uhuru wa kuongea bila wasi wasi wowote.
Na sasa hivi watu wanaanzisha biashara kulingana na matakwa yao.
Kwa nini tusimpe mama MITANO TENA?
 
Yote uliyosema ni kweli kabisa lakini sijui ni kwa nini wananchi wengi wa kawaida hawamkubali.

Nafikiri watanzania wengi wanapenda siasa alizofanya jpm na hizi anazofanya Makonda.
Zile siasa za kumkemea mwenye nacho na kumpetipeti mnyonge.
Siasa hizo Rais Samia Hana. Jambo linalofanya wananchi wamwone sio rais wa wanyonge
 
Back
Top Bottom