The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,382
- 2,582
Haaaaaa,haaaaaMwendazake huko aliko ananunaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaaa,haaaaaMwendazake huko aliko ananunaaaaaa
Ikulu ni Ikulu tuu
Rais anaweza hata kuwaapishia ikulu ya Mtwara🤣🤣🤣
Angemefufuka Kama raia wa kawaida tuAngefufuka leo mngekoma
Tutabanana hapa hapaWanatuletea mifoleni Dar
Mji wa kichovu sana afu wenyeji wanajifanya wajanja kumbe hamna kituDodoma Hakuna atakayeikimbia. Siku ikulu imekamilika ndio wataelewa
Usisahau, hii ni awamu ingine, kama zilivyokuwa awamu za MWALIMU, AHM, BWM, JK, JPM...........Mbona mambo mengi yanabadilishwa ghafla. Meza inapinduliwa, mapaparazi wanaenda kuwa huru. Covid 19 itaanza kushughulikiwa kikamilifu. Nadhani huu ni mwanzo, mengi yanakuja. Ngoja tuone, muda utatoa majibu.
Mji wa kichovu sana afu wenyeji wanajifanya wajanja kumbe hamna kitu
Watu wameapishiwa Chattle kwa bwana yule, afu tunashangaa wakiapishiwa Tanzania, Daslam...Ikulu ni Ikulu tuu
Rais anaweza hata kuwaapishia ikulu ya Mtwara🤣🤣🤣
Hakuna kosa la kisheria TRA katika process zao za kukusanya kodi. Atukatai kuna wafanyakazi wachache wenye tabia mbaya ambao wanatumia mamlaka waliyonayo kisheria kusumbua watu na kutochukuliwa hatua.Kodi ni muhimu kwa maendeleo ya Nchi yetu, ila si kwa kodi za dhuluma. Atakayekwepa kodi kipindi hiki atashughulikiwa vizuri tu na atakuwa mhujumu uchumi wa kweli. Anachotaka mama ni professionalism ktk ukusanyaji wa kodi....Ukitaka mafanikio ya kudumu ya jamii lazma ufuate kanuni sahihi.
Hivi huwa mnakaa hata kidogo,kusikiliza mkuu wa nchi anaongea Nini,au ukisikia neno moja bila hata kutafakari mnakimbilia kupost.Mbona rais kasema.uwanja wa.ndege Dodoma uarakishwe kujengwa maana tokea awamu ya Kwanza ya awamu ya tano,uwanja huu ulitakiwa kuanza kujengwa?Dodoma ndio bye bye...
Huyu mama ni mama kweli kweli.....!!!
Ikulu ni Ikulu tuu
Rais anaweza hata kuwaapishia ikulu ya Mtwara
Project ya mwendazake inaenda naye. RIP Likwelile..I wish ungekuwa hai uone maamuzi ya hovyo yalivyoligharimu taifa.Dodoma ndio bye bye...