Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Tunazinguana..,..!!JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.......KAZI IENDELEE....!!!!! ukinizingua......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunazinguana..,..!!JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.......KAZI IENDELEE....!!!!! ukinizingua......
Makampuni yote ya simu Wangekuwa wanatumia Mkonga wa taifa pengine serikali ingeweza kusimamia vizuri hata sera ya utoaji huduma za mitandao ya simu, sahivi hawakawii kusingizia gharama za uendeshaji ni kubwa.Keshasema wakimzingua atawazingua.
Mei mosi itakuwa ni Saturday pia, save date na id yanguMkuu we endelea tu na jukumu la kupandisha mishahara, hii nchi mabeberu weusi ni hatari kwa afya!
Wametoa waraka si ajabu mtandaoni, lakini kwa wahusika makampuni ya simu haujawafikia, wameambiwa imeisha hiyo, Aluta continua, funika kombe mwanaharamu apite.
Everyday is Saturday............................... 😎
Kweli kabisa. Aliyempokea naye vipi (Kaji). Nimesikia Mama akisema atampangia kazi nyingine.Siang'a alifanya kazi nzuri sana katika udhibiti wa dawa za kulevya.
Wewe mpandisha mishahara nikikukamata utajuta, kumbe umo humuhumu Jf, Mimi member mwenzio umeniacha mwaka wasita huu sijapanda.mei mosi itakuwa ni saturday pia, save date na id yangu
Kafanye kazi. Mkaonyeshe uzalendo uliotukuka. Katekelezeni yale yaliyomo kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Eeh, sasa wewe unafikiri sisi mabeberu tutakula nini tukienda kutembelea "makao makuu". Tunataka sehemu nzuri ya kula breakfast. Nyie watu wa kuja bwana! Yaani umeshaona kula English breakfast ni anasa! Hovyooo!Kwa hio kipimo cha mji usio wa kichovu ni english breakfast?
Hayati alipanga mwaka huu apandishe, mrithi pia anafata nyayo japo ye atatofautiana uzani.Wewe mpandisha mishahara nikikukamata utajuta, kumbe umo humuhumu Jf, Mimi member mwenzio umeniacha mwaka wasita huu sijapanda.
huwezi kuwa na huruma halafu ukawa kitengngo hikoKweli kabisa. Aliyempokea naye vipi (Kaji). Nimesikia Mama akisema atampangia kazi nyingine