Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm nitakataka
Imejaa matumaini.
CCM oyeeeee!
Mmmmh!! Mbona nasikia Kaji ni Mbabe sana tuhuwezi kuwa na huruma halafu ukawa kitengngo hiko
Ni kweliWe naye hueleweki kila kitu unalalamika
Hii mbona kitambo watanzania tumeshaipitisha 😂😂😂Maza Atake asitake lazima aongezwe, akikataa alazimishwe huyo.
Ana hoja ya msingi sana kwa hiliMkuu kasema opportunity cost ndio muhimu.... Unapima hasara na faida. Coz unaweza hata compensate kwa kutenga au kupanua hifadhi upande mwingine na ukapunguza upande mwingine...
Kwenye soka ukitanguliza nguvu kuliko akili lazima upate red...kwenye ngumi najua unajua kitakachokupata...kifupi akili inapaswa ianze kutumika kabla ya nguvuMsuli na akili hutumika kwa pamoja ww njemba
Na utashangaa waliokuwa wanaunga mkono tena kwa matusi makubwa ndiyo wa kwanza kushangilia na kupiga makofi.Mbona mambo mengi wanabadilishwa ghafla. Meza inapinduliwa, mapaparazi wanaenda kuwa huru. Covid 19 itaanza kushughulikiwa kikamilifu. Nadhani huu ni mwanzo, mengi yanakuja. Ngoja tuone, muda utatoa majibu.
Dah! Mpinzani hatofautiani na shetani, tena lusifa aliyefungwa minyororo!CCM nitakataka
Heshima kwako nduguMkuu kasema opportunity cost ndio muhimu.... Unapima hasara na faida. Coz unaweza hata compensate kwa kutenga au kupanua hifadhi upande mwingine na ukapunguza upande mwingine.
More so uchimbaji sio permanent inaweza kuwa miaka 100 basi... So haiwezi leta permanent damage kwa ecosystem... At least kwa kijieneo utakapochimba.
Mwendazake huko aliko ananunaaaaaaMbona mambo mengi wanabadilishwa ghafla. Meza inapinduliwa, mapaparazi wanaenda kuwa huru. Covid 19 itaanza kushughulikiwa kikamilifu. Nadhani huu ni mwanzo, mengi yanakuja. Ngoja tuone, muda utatoa majibu.