Rais Samia Suluhu Hassan awaapisha Viongozi mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni

Rais Samia Suluhu Hassan awaapisha Viongozi mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni

"mimi ni mama wewe ni kijana ukinizingua nakuzingua"
 
Ila hapo kwenye kuchimba Madini yaliyopo ndani ya eneo la National Parks zetu hapo sikubaliani Naye.

Ila kwakuwa hakuna kama mama wacha nikubali kutokubaliana

Kweli asee Mkuu na Mimi nimetafakari sana kuna haraka gani kiasi hiko iwapo upembuzi yakinifu hujafanyika ?
 
Mnaimba mama mama kumbe huku nyuma mnaingiaza ngada kumbaf sana nyie maza atakufungeni tu
Ha ha ha ha kwani ccm si n ileile?

Maono ya mama ndivyo inavyotakiwa kwa mtu aliyepewa dhamana ya uongozi.

Jiwe alipenda kutisha na kuwaogopesha watu akawatengenezea watu nidhamu za uoga maofisini akidhani atafanikiwa kwny utawala wake kumbe subordinates walikuwa wanamchora tu.

Uongozi n karama sio kila mtu anafaa kuwa kiongozi.

Imagine mtu alitakiwa kuwa mlinzi wa wanyama anapewa madaraka makubwa ya uongozi what do you expect?

Mpeni mama ushirikiano akikosea watu watamchana tu cha muhimu tu asjione anajua kila kitu.
 
Mkuu we endelea tu na jukumu la kupandisha mishahara, hii nchi mabeberu weusi ni hatari kwa afya!

Wametoa waraka si ajabu mtandaoni, lakini kwa wahusika makampuni ya simu haujawafikia, wameambiwa imeisha hiyo, Aluta continua, funika kombe mwanaharamu apite.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hotuba ya Mh. Rais wa JMT imejaa utu, heshima, unyenyekevu wenye ukali ndani yake.

Kuomba kwake vitu vitekelezeke ni amri iliyo katika kiasi, hakika pengo limezibwa kwa kasi ya ajabu.

Tutegemee neema na rehema yenye furaha na faraja kwa watu kuanza na kuendelea kuchapa kazi.

Sisi katika sekta binafsi tumefarijika sana sana.

Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu Mh.Samia Suluhu Hassani Rais wa JMT.

Amina.
 
Ha ha ha ha kwani ccm si n ileile?
Maono ya mama ndivyo inavyotakiwa kwa mtu aliyepewa dhamana ya uongozi.
Jiwe alipenda kutisha na kuwaogopesha watu akawatengenezea watu nidhamu za uoga maofisini akidhani atafanikiwa kwny utawala wake kumbe subordinates walikuwa wanamchora tu.
Tatizo letu pia watanzania ni unafiki. Wakati JPM alipokuwa madarakani watu walimsifia sana hasa MATAGA. Lakini sasa hivi mambo yamekuwa vinginevyo kabisa maana washageuka upande. Tuna shida kubwa sana kama taifa
 
Mama Samia akimaliza miaka yake 9 tunamuongeza na mingine 5
 

Kama wanadhani mambo ya hesabu za biashara ni rahisi embu wafuatulie scandal kama hizo.

Hao mabeberu wenyewe walioanza kutozana kodi karne ya pili sasa bado wanadhulimiwa na wakikubaini leo wanarudi nyuma ata kama ulipewa tax clearance miaka kadhaa iwe sisi.

Mama anatuma wrong message kwenye taxation, tax clearance doesn’t mean watu awawezi rudi nyuma. Accountants wanambinu za kukwepa kodi, kukuza share premium na mambo mengine ambayo unaweza usibaini leo.

Kwenye sakata la hao Tesco kampuni inajikagua (usually accountants kwenye makampuni makubwa wana departments tofauti receivables, payables, payroll, audit na wote awajuani kuzuia fraud), kampuni bado inakaguliwa na external auditors na wanapeleka nyaraka zao mamlaka ya kodi kuhakikiwa kabla ya kupewa certificate.

Pamoja na kuvuka kote huko, it took a random check kutoka mamlaka inayosomamia accounting practice kuona kama wanafuata taratibu na kubaini kampuni inapika vitabu. Walipo chunguza zaidi wakakuta huo mchezo umefanywa kwa miaka mitatu mfulululizo nyuma.

Mama asidhanie swala la kodi ni la mzaha mzaha, she is sending the wrong message; TRA ilikuwa inaimarika zaidi yeye ndio anataka kuwarudisha nyuma.
 
Hatimaye tabasamu la uzalendo na mapenzi yasiyo ya kinafiki kwa taifa letu yameanza kurejea. Baada ya miaka mi 5 ya udhalimu, ubakaji wa demokrasia.

To God be the glory.
 
Tatizo letu pia watanzania ni unafiki. Wakati JPM alipokuwa madarakani watu walimsifia sana hasa MATAGA. Lakini sasa hivi mambo yamekuwa vinginevyo kabisa maana washageuka upande. Tuna shida kubwa sana kama taifa
Uko sahihi Mkuu.
Watanzania tuna damu ya UNAFIKI mno.
 
''Mna kazi kubwa ya kurudisha mahusiano na mataifa ya nje, Mhe. Waziri wewe ni hodari sana kwenye hili, wanakusikiliza sana umeshafanya nao kazi sana, kuna msemo unasema ukitaka kufika haraka nenda peke yako ukitaka kufika mbali nenda na wenzako, sasa twende na wenzetu, mkashughulikie hilo'' - Rais Samia Suluhu.

#UapishoIkulu
Screenshot_20210406-124638_Facebook.jpg
 
''Mna kazi kubwa ya kurudisha mahusiano na mataifa ya nje, Mhe. Waziri wewe ni hodari sana kwenye hili, wanakusikiliza sana umeshafanya nao kazi sana, kuna msemo unasema ukitaka kufika haraka nenda peke yako ukitaka kufika mbali nenda na wenzako, sasa twende na wenzetu, mkashughulikie hilo'' - Rais Samia Suluhu.

#UapishoIkuluView attachment 1744869
Nani alie haribu mahusiano yetu na mataifa ya nje? Kwanini tulifikia hapo viongozi wa chama walikua wapi?
 
Back
Top Bottom