Sijaelewa hii,tupeni ufafanuzi basi wengine hatuna TVMama Karuhusu Mabango...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa hii,tupeni ufafanuzi basi wengine hatuna TVMama Karuhusu Mabango...
mama anachoongea awe anamaanisha jamani, ananikosha kweli!
Yaani yasitokee tu yale majitu...
Umeelewa alichosema?Ila hapo kwenye kuchimba Madini yaliyopo ndani ya eneo la National Parks zetu hapo sikubaliani Naye.
Ila kwakuwa hakuna kama mama wacha nikubali kutokubaliana
alisema ni ikulu ya dsmNaona shughuli ya kuwaapisha wateule mbalimbali inafanyika Dar badala ya Dodoma kama ilivyotangazwa hapo awali.
Kwanini hawajasafiri waende Chamwino?
Mkuu kasema opportunity cost ndio muhimu.... Unapima hasara na faida. Coz unaweza hata compensate kwa kutenga au kupanua hifadhi upande mwingine na ukapunguza upande mwingine.Ila hapo kwenye kuchimba Madini yaliyopo ndani ya eneo la National Parks zetu hapo sikubaliani Naye.
Ila kwakuwa hakuna kama mama wacha nikubali kutokubaliana
Kwa mama hata akiplus plus poa tu.mama samia FOREVER tena
Mkuu ameongea hayo kweli?TRA kusanyeni kodi ila mimi sizitaki Kodi za dhuluma. Mambo ya kutisha watu kuwapa kesi za uhujumu uchumi ili mpewe kodi, sitaki hayo mambo tena.
Mama ndivyo alivyomalizana na TRA