Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajanja watakaa Dar Kama mama,Nimekuwa nikisema mara kwa mara, siku Magufuli anafariki huo ndio utakuwa mwisho wa Dodoma. Nakupa mpaka mwisho wa mwaka huu, Dodoma itakuwa hadithi.
Who told you that crapDodoma ndio bye bye...
Hayo majitu yatakufa mapema.mama anachoongea awe anamaanisha jamani, ananikosha kweli!
Yaani yasitokee tu yale majitu.
Subiri Mataga wazee wa ikulu cha Chato waje kukupiga maweIkulu ni Ikulu tuu
Rais anaweza hata kuwaapishia ikulu ya Mtwara[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu hawa sio Ajira mpya amesema
Jaman hawa ni wapi??
Kwa hio kipimo cha mji usio wa kichovu ni english breakfast?Dodoma bado mji wa kichovu. Nakumbuka mwaka jana nilikwenda sehemu moja wanaiita "uzunguni" nikaingia kwenye restaurant moja ya "kishua" nikaagiza English breakfast. Wala haikuja kama nilivyotarajia. Haikuwa mbaya sana lakini mayai ya kukaanga yalipikwa kupika kiasi mpaka yakawa yamekakamaa!! [emoji2]
Linafanyika Dar kuepusha foleni Dodoma. Sasa hivi Dodoma imezidiwa na wageni.Watu waongo sana. Tangazo la mwanzo lilisema Dar es Salaam.
Kwanini Nasubiri vitu visivyowezekana????Subiri Mataga wazee wa ikulu cha Chato waje kukupiga mawe