Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aanze na kuwalipa fidia waliovunjiwa nyumba zao kwa uonevu na tanroads hapa Kimara Kibamba ili tuwe na umoja wa kitaifa. Pili wapitie mafaili ya wakioonewa kwenye vyeti feki ili kazi iendeleeJaman hawa walimu 6000 aliowataka tamisemi na watumishi warudishe ni wale wa vyeti feki?
Naomba mnijulishe
Dodoma ndio bye bye...
Ha ha kwamba inapigwa picha bonge moja la tznite kina Laizer kumbe mengine yametoroshwa inawezekana tulipigwa kwa Laizer paleWajeda wapo mzigo unatoka
Tutumie akili zaidi jaman
Karudie kiapo alichosema?Mpango kwa nini anatoaga maagizo wakati rais yupo? Au ni makamu wa rais wa zamani walikua hawatimizi majukumu yao ya cheo chao kwa woga?
Wanalinda juu mzigo unapitishwa chini...Wajeda wapo mzigo unatoka
Tutumie akili zaidi jaman
🤣🤣🤣Wanalinda juu mzigo unapitishwa chini...
Dah
😀😀😀
Hali ya Kudhalilika,kuaibika, unyonge, taabu na dhikiudhalili ndiyo nini?
Dodoma ni makao ya CCMDodoma ndio bye bye...
Ishu hio ni kubwa mkuu, kwa wenye macho ya kijasusi tunajua kulikua na ushirikiano wa jiwe na dikteta fulan hiviWajeda wapo mzigo unatoka
Tutumie akili zaidi jaman