Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Dodoma mji gani bana we si umeona mwendazake kahamishia watu kule ila yeye kaja kufia Dar , kule vuuuumbi aaahgh eti alitaka kumenzi Baba wa Taifa Dom is a crap simpleMji wa kichovu sana afu wenyeji wanajifanya wajanja kumbe hamna kitu
Ukweli lazima tuwajuze Kama tulivyo wajuza kuugua kwa Mukulu.Mnatufatilia,vizuri sana...
Hakuna kosa la kisheria TRA katika process zao za kukusanya kodi. Atukatai kuna wafanyakazi wachache wenye tabia mbaya wanatumia mamlaka waliyonayo kisheria na kutochukuliwa hatua ata mtangulizi wake alikuwa anakemea. Watu hao wakiaribu eneo moja wanaamishiwa kwingine hapo ndio kwenye shida.
Lakini anapokosoa record keeping requirements za accounting practice and fraud investigation procedures zinazotumika dunia nzima kisa kutafuta cheap popularity hapo ndio kwenye shida.
Kwingine ni kwenye LNG badala ya kuuliza kwanza sababu za empasse tayari anatoa maagizo hivi tunadhani watu wanatumia billions of dollars kwenye exploration and kukujengea plant kwa sababu wanakupenda sana. Atafute mtaalamu mmoja kwanza amuelezee shida ilipo kabla ya kutoa maagizo without understanding the facts; vinginevyo ni kama anatoa baraka watu waingie mikataba ya ovyo tu ikibidi.
Mama anaongea maneno mazuri yenye kuvutia wangu, ila ukiyatafakari mengine unaona ya shida sana mbeleni.
Yetu macho
Hapo kwenye usikivu ndio shida anasikiliza sana mpaka anaachana na uhalisia.Uzuri mama ni msikivu, ukimsikiliza kwa makini unagundua siyo mtu wa kujilimbikizia mamlaka, anadelegate power kwa subordinates wake. Kipindi chake wataibuka wabunifu na wazalendo wa kweli, siyo wanafiki....Tuweni pamoja, tumuungeni mkono Rais wetu, tuijenge Nchi yetu. Kukiwa na shida ,platforms zipo za kutoa ushauri
Kwa bandiko lako hili we ni wale wale wafuasi wa Jiwe ambao walikuwa wanashangilia kila aina ya upuuzi na ukandamizaji kwa Watz kwene Biashara, Uwekezaji and Watumishi ulokua unafanywa na Jiwe....!!!Hakuna kosa la kisheria TRA katika process zao za kukusanya kodi. Atukatai kuna wafanyakazi wachache wenye tabia mbaya wanatumia mamlaka waliyonayo kisheria na kutochukuliwa hatua ata mtangulizi wake alikuwa anakemea. Watu hao wakiaribu eneo moja wanaamishiwa kwingine hapo ndio kwenye shida.
Lakini anapokosoa record keeping requirements za accounting practice and fraud investigation procedures zinazotumika dunia nzima kisa kutafuta cheap popularity hapo ndio kwenye shida.
Kwingine ni kwenye LNG badala ya kuuliza kwanza sababu za empasse tayari anatoa maagizo hivi tunadhani watu wanatumia billions of dollars kwenye exploration and kukujengea plant kwa sababu wanakupenda sana. Atafute mtaalamu mmoja kwanza amuelezee shida ilipo kabla ya kutoa maagizo without understanding the facts; vinginevyo ni kama anatoa baraka watu waingie mikataba ya ovyo tu ikibidi.
Mama anaongea maneno mazuri yenye kuvutia wangu, ila ukiyatafakari mengine unaona ya shida sana mbeleni.
Yetu macho
Achana naye. Ashazoe tukitukanwa kila sikuKwema mkuu?? π ππ
Mwandiko ka umesusa?!
Mafuta wakachimbie majembe??π
Wasusa wenzio twala, mafuta tutachimbia hata meno yakhee!
Everyday is Saturday................................π
"Katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendelee". President Mrs. Sameer Suluhu Hassan. 6th April, 2021, State House,Dar-es- SalaamUzuri mama ni msikivu, ukimsikiliza kwa makini unagundua siyo mtu wa kujilimbikizia mamlaka, anadelegate power kwa subordinates wake. Kipindi chake wataibuka wabunifu na wazalendo wa kweli, siyo wanafiki....Tuweni pamoja, tumuungeni mkono Rais wetu, tuijenge Nchi yetu. Kukiwa na shida ,platforms zipo za kutoa ushauri
Angalia tena vizuri speech yake leo mawaziri wa zamani wote wanamuogopa akitaja wizara zao wanakuwa wadogo kweli hasa alipoanza na Ummy Mwalimu (na huyo ndio kipenzi chake) inaonekana mama sio mtu wa mzaha privately akikiwasha kitaeleweka; personality yake na Magufuli sioni tofauti.Kwa bandiko lako hili we ni wale wale wafuasi wa Jiwe ambao walikuwa wanashindwa kila upuuzi na ukandamizaji wa Watz kwene Biashara, Uwekezaji and Watumishi...
Taratibu tunawatawala..Ukweli lazima tuwajuze Kama tulivyo wajuza kuugua kwa Mukulu.
Kabisa mkuuDodoma mji gani bana we si umeona mwendazake kahamishia watu kule ila yeye kaja kufia Dar , kule vuuuumbi aaahgh eti alitaka kumenzi Baba wa Taifa Dom is a crap simple
Haha haha ukweli ndio huoUna beef na mkuu wa muhimili mwingine?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]