Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Dodoma mji gani bana we si umeona mwendazake kahamishia watu kule ila yeye kaja kufia Dar , kule vuuuumbi aaahgh eti alitaka kumenzi Baba wa Taifa Dom is a crap simpleMji wa kichovu sana afu wenyeji wanajifanya wajanja kumbe hamna kitu