Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanataka wapigwe na upepo wa bahari ya hindiNaona shughuli ya kuwaapisha wateule mbalimbali inafanyika Dar badala ya Dodoma kama ilivyotangazwa hapo awali.
Kwanini hawajasafiri waende Chamwino?
Huo mji wanaulazimisha tu lakini bado umekaa kichovu! 😂Nani aende Dodoma hapa!
Utalamba sana Viatu...Ikulu ni Ikulu tuu
Rais anaweza hata kuwaapishia ikulu ya Mtwara🤣🤣🤣
Mnasikitisha sana, fikra za kushangilia Dar au Dodoma hazina chochote katika kulisaidia Taifa.Dodomaa...
Tulisema..
😂😂😂😂
Kwaheri Dodoma.
SoonAkianza kuhutubia mtujuze
Dodoma bado mji wa kichovu. Nakumbuka mwaka jana nilikwenda sehemu moja wanaiita "uzunguni" nikaingia kwenye restaurant moja ya "kishua" nikaagiza English breakfast. Wala haikuja kama nilivyotarajia. Haikuwa mbaya sana lakini mayai ya kukaanga yalipikwa kupika kiasi mpaka yakawa yamekakamaa!! 😃Watu wanataka wapigwe na upepo wa bahari ya hindi
Ova
Mnasikitisha sana..fikra za kushangilia Dar au Dodoma hazina chochote katika kulisaidia Taifa..
Ateuliwe Baba yako au Shangazi yangu bado hizi ni kazi ambazo usipowajibika madhara yake ni makubwa mpaka katika vizazi vingine vya familia husika..usione tu wanajamii wanakuchekea wakati unawaumiza ukafikiri umemaliza..
We naye hueleweki kila kitu unalalamikaKwahiyo wanalipana perdiem maana lazima kuna watu watalazimika kuja Dar kwa ajili ya hiyo shughuli.
Ufisadi tu huu!
😂😂😂Angefufuka leo mngekoma
Hauwezi ibuka sawa kama wanaukimbia. Jpm aliuamsha na dodoma ilianza kupata attention na ujenziHuo mji wanaulazimisha tu lakini bado umekaa kichovu! 😂
Nimekuelewa sana bwashee!Mnasikitisha sana..fikra za kushangilia Dar au Dodoma hazina chochote katika kulisaidia Taifa..
Ateuliwe Baba yako au Shangazi yangu bado hizi ni kazi ambazo usipowajibika madhara yake ni makubwa mpaka katika vizazi vingine vya familia husika..usione tu wanajamii wanakuchekea wakati unawaumiza ukafikiri umemaliza..
HhhhhhAngefufuka leo mngekoma