MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 305
- 728
Mumeo wa mtandaoni anamaoni gani, ngoja tumtag hapa atueleze Lucas MwashambwaDuh! Miaka 60's ya uhuru
Kufunguliwa kwa ofisi ya jeshi la polisi imekua big issue hadi kamera!
Hakuna habari hapo
Ramani huwa ni za Wizara kama ilivyo kwa madarasaTatizo la polisi huwa sio wabunifu. Vijumba vyao vyote nchi nzima vinafanana pia ofisi zao hivo hivo. Hilo jengo linafanana na linalojengwa Musoma huko hivo hivo
Hata diwani angefunguaDuh! Miaka 60's ya uhuru
Kufunguliwa kwa ofisi ya jeshi la polisi imekua big issue hadi kamera!
Hakuna habari hapo
Usasa ni nini? so tutegemee wataacha kuandika RB kwa kutumia vipande vya Mabox? Usasa sio jengo. USasa ni kuwa na akili za kisasa. Jeshi la Police ni moja ya taasisi inayo endeshwa kijima sana still bado wako zama za mawe, yaani hata Industry revolution haijatake place kwenye taasisi.HABARI PICHA:
Matukio mbalimbali wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Jengo la Ofisi la Jeshi la Polisi Mkoani Katavi.
Jengo hilo litakuwa linatumiwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi pamoja watendaji wake wote walio chini yake ndani ya Mkoa huo.
Hili ni jengo la mfano na la kipekee ni tofauti na majengo mengine ya Jeshi la Polisi Nchini.
#SerikaliKazini
😀😀😀Mumeo wa mtandaoni anamaoni gani, ngoja tumtag hapa atueleze Lucas Mwashambwa
Jeshi lake la kuwatesa watanzaniaHABARI PICHA:
Matukio mbalimbali wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Jengo la Ofisi la Jeshi la Polisi Mkoani Katavi.
Jengo hilo litakuwa linatumiwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi pamoja watendaji wake wote walio chini yake ndani ya Mkoa huo.
Hili ni jengo la mfano na la kipekee ni tofauti na majengo mengine ya Jeshi la Polisi Nchini.
#SerikaliKazini
si lingezinduliwa na waziri tuHABARI PICHA:
Matukio mbalimbali wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Jengo la Ofisi la Jeshi la Polisi Mkoani Katavi.
Jengo hilo litakuwa linatumiwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi pamoja watendaji wake wote walio chini yake ndani ya Mkoa huo.
Hili ni jengo la mfano na la kipekee ni tofauti na majengo mengine ya Jeshi la Polisi Nchini.
#SerikaliKazini