K
Aisee, umelalamika sana mkuu, kwani wewe mshaharawako ni shingapi maana huu sio uzi ni gazeti.
Unasema rais atatumbukizwa kwenyebshimo na ndugai??
Kwani asipoongeaz mshahara mtamfanya nini, waajiriwa serikalini wapo wachache sana ukilinganisha na jobless ambao wapo mitaani na niwasomi wataalam kuzidi kuliko nyie ambao mpo kwenye ajira.
Acha kumtishia tishia rais wewe, kama unajifanya kichaa hebu jaribu tu kujiuzulu hapo ulipo alafu kaapembeni uone watu wangapi wenye elimu kuzidi wewe watakao omba hiyo nafasiyako kwa mshahara huohuo.
Tulizeni akilizeni msubiri kauli ya rais sio kujifa kumpangia pangia wesubiri akiongeza shukuru endelea na kazi asipoongeza amua kusuka amakunyoa.