Rais Samia Suluhu Hassan, muondoe Mwigulu

Rais Samia Suluhu Hassan, muondoe Mwigulu

Nilishaacha kufanya jambo la hela kwenye simu na kwenye Bank ninaelekea kuacha kabisa.
 
Sidhani Kama umeelewa. Kikichofutwa tozo za kutransfer pesa, tozo za miama ya simu na ATM zipo Kama kawaida
afadhali kidogo mkuu kulipo ilivyokuwa ateast tutaendeelea kutumia sim banking na mifumo ya kinbenk kuna jamaa nawalipaga kupitia benki waliniambia hawataki tena mambo ya benki kutokana na tozo wakataka niwe nawalipa mkononi sasa ikawa inakuwa very risk kwangu mimi kutembea na cash money
 
Kodi ni muhimu sana ila utii na unyenyekevu mdomoni na akilini ni lazima sio ombi, tunaihitaji Kodi ili tusonge mbele ila ije katika hamasa na matamko yenye Nia njema na kutoa moyo bidii ya kusongesha uchumi na maendeleo.

Kimuonekano Mwigulu anafana na Rais Kikwete, sijui historia ya Kikwete ila kama damu yake vile, sina hakika ila nikimcheki Mwigulu kila siku naona kitu Kwa Kikwete.

Mwigulu anafaa ila kwa Ile kauli ngumu kusamehewa na Samia atachukiwa sana Mwigulu akiendelea kubaki hapo. Mwigulu Cha ajabu yeye ndiye nguzo ya uchumi mtachagua wenyewe, mimi nataka abaki ila aombe radhi waziwazi pale bungeni kuhusu kuhamia Burundi na kwamba sisi watanzania ndio tuliomba tozo za miamala. Kodi ni muhimu Kwa maendeleo haikwepeki
Pato moja lina katwa kodi mara nne nne... Dhurma.
 
Kwanza Nikupe Pole Mh.Rais kwa safari ya kwenda kumzika Malkia Elizabeth 11 huko Uingereza.Pili Pole kwa Malalamiko ya Masikini Wapiga kura kwa Kutishwa ZIGO ZITO la TOZO na Waziri wako wa FEDHA zigo ambalo Lawama zote UMETISHWA WEWE.
Ushauri
Mabadiriko ya Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango ni MUHIMU usisubiri Yatokee Mazito.
Waziri aliyopo ATUPISHE.
20220617_235626.jpg
1662053772400.jpg
 

Attachments

  • JamiiForums1856381968.jpg
    JamiiForums1856381968.jpg
    119.9 KB · Views: 4
Mwigu ni ZIGO la misumar mgongoni mwa raia maskinii!!
Mwigulu rais 2015
Kwenye mawe

Mwigulu rais 2015
Kwenye miti


Mwigulu rais 2015
Kwenye katani


Mwigulu rais 2015
Kwenye kuta za nyumba


Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015

Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Rais
Rai
Ra
Ra
R
Aaaaaaaaaaaaaaaaa ha faiiii
 
Naandika kwa heshima taadhima kabisa kukuomba umuondoe katika wizara ya Fedha Phd Mwigulu Mchemba.

Ukijaribu kuona huyu bwana ameweza kukuingiza mkenge mara mbili kwenye suala la tozo.

Mwaka jana alichomeka tozo zikaja kufanyiwa adjustment ambayo inaathiri bajeti na hivyo kupelekea mipango yote isitimie, na sasa tena karudia.

Mh Rais, kwa uchache huu unadhani ni makubwa mangapi anafanya kifichoni na huyajui.

Mbaya zaidi anatujibu sisi wapiga kura wako kuwa waende Burundi, kumbuka kuwa huyu hakupigiwa kura na watanzania wote bali na watu wa jimbo lake pekee ila wewe utapigiwa kura na Watanzania wote.

NB: Mwigulu, nkuita Mwigulu mdomo uliponza kichwa.
Fukuza huyo Mwigulu. Hatumtaki kabisa.
 
Mwigulu rais 2015
Kwenye mawe

Mwigulu rais 2015
Kwenye miti


Mwigulu rais 2015
Kwenye katani


Mwigulu rais 2015
Kwenye kuta za nyumba


Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015

Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Mwigulu rais 2015
Rais
Rai
Ra
Ra
R
Aaaaaaaaaaaaaaaaa ha faiiii
Mwigulu Rais 2015 kwenye mgongo wa....😃😃😃!!! Aibu!!!.
 
Naandika kwa heshima taadhima kabisa kukuomba umuondoe katika wizara ya Fedha Phd Mwigulu Mchemba.

Ukijaribu kuona huyu bwana ameweza kukuingiza mkenge mara mbili kwenye suala la tozo.

Mwaka jana alichomeka tozo zikaja kufanyiwa adjustment ambayo inaathiri bajeti na hivyo kupelekea mipango yote isitimie, na sasa tena karudia.

Mh Rais, kwa uchache huu unadhani ni makubwa mangapi anafanya kifichoni na huyajui.

Mbaya zaidi anatujibu sisi wapiga kura wako kuwa waende Burundi, kumbuka kuwa huyu hakupigiwa kura na watanzania wote bali na watu wa jimbo lake pekee ila wewe utapigiwa kura na Watanzania wote.

NB: Mwigulu, nkuita Mwigulu mdomo uliponza kichwa.
Mwaka jana alichomeka tozo zikaja kufanyiwa adjustment ambayo inaathiri bajeti na hivyo kupelekea mipango yote isitimie, na sasa tena karudia.
[emoji2827][emoji2827]
Sikio la kufa...!
 
Naandika kwa heshima taadhima kabisa kukuomba umuondoe katika wizara ya Fedha Phd Mwigulu Mchemba.

Ukijaribu kuona huyu bwana ameweza kukuingiza mkenge mara mbili kwenye suala la tozo.

Mwaka jana alichomeka tozo zikaja kufanyiwa adjustment ambayo inaathiri bajeti na hivyo kupelekea mipango yote isitimie, na sasa tena karudia.

Mh Rais, kwa uchache huu unadhani ni makubwa mangapi anafanya kifichoni na huyajui.

Mbaya zaidi anatujibu sisi wapiga kura wako kuwa waende Burundi, kumbuka kuwa huyu hakupigiwa kura na watanzania wote bali na watu wa jimbo lake pekee ila wewe utapigiwa kura na Watanzania wote.

NB: Mwigulu, nkuita Mwigulu mdomo uliponza kichwa.
Acheni wishful thinking za kijinga na kuona kaskazini tu ndio wanafaa kuwa mawaziri.
 
Mwigulu ndio nguzo ya uchumi wa Tz kwa sasa. Na kodi lazima tulipe. Sema tu kaskazini ndio wanaendesha hizi siasa za maji taka kwa sababu ya tamaa ya uwaziri
 
Back
Top Bottom