Hili bunge halina vipaji vipya,ndo maana mama wa chato kaona isiwe shida kaamua kunenepa zakeHizi pedi zenyewe mtaji mamilioni kahongwa na kigwagwalah enzi zile akiwa anadokoa.mjini utaficha yote ila siku itajulikana
Mwana fa kapewa ubunge yupo yupo tu haeleweki hana hoja.ila akija sasa huku mtaani..
Bora wabunge wangechangia yeye kujengewa sanamu si sadalaaHuwa naangalia mambo anayofanya huyu dada kusema kweli nadiriki kusema huyu dada anafaa kuwa Mbunge kuwakilisha vijana wa Tanzania. Michango yake kwa kupitia Flaviana Matata Foundation ni mingi na imekuwa manufaa kwa vijana, kuanzia taulo za kike kuja madaftari na kalamu za shule mpaka maboya ya kujikinga na ajali za majini!
Mama, chondechonde naomba umuwezesha huyu dada wa mfano!
Ndoa yake iliishia wapi?
Utawasikia wabongo "yuko smart sana"Kila anaefanya kitu huko Instagram ndo apewe ubunge?Why her?
Kwanini sio wengine?
Kumbe ameolewa?Na hata ndoa yake haioimeki kama iko heaven au hell
Hayo mambo anayofanya mbona wengine hatuyafaham,tufahamishe tafadhaliHuwa naangalia mambo anayofanya huyu dada kusema kweli nadiriki kusema huyu dada anafaa kuwa Mbunge kuwakilisha vijana wa Tanzania. Michango yake kwa kupitia Flaviana Matata Foundation ni mingi na imekuwa manufaa kwa vijana, kuanzia taulo za kike kuja madaftari na kalamu za shule mpaka maboya ya kujikinga na ajali za majini!
Mama, chondechonde naomba umuwezesha huyu dada wa mfano!
Unasema mbunge mtarajiwa kafanyaje?Kuna faili lake humu akihusishwa na mambo ya biriani.
Ahsante kwa muongozo, faili limfikie Maza Hausi
Sanaa jamiii,inaburudika mtu akijibenua hivo,ana mchango sana kwa kuiinua CHAPUTA[emoji16][emoji16]ana mchango mkubwa kwa jamii!
Tuanzie hapo flaviana matata na brian MushiNdoa yake iliishia wapi?
Nyie ndio mnasababisha Gwajima yuko mjengoni.. Mazuri yanajionyesha next move mtataka Konde boy aingie bungeni pia tuheshimu ile sehemu tunapeleka wawakilishi wetuHuwa naangalia mambo anayofanya huyu dada kusema kweli nadiriki kusema huyu dada anafaa kuwa Mbunge kuwakilisha vijana wa Tanzania. Michango yake kwa kupitia Flaviana Matata Foundation ni mingi na imekuwa manufaa kwa vijana, kuanzia taulo za kike kuja madaftari na kalamu za shule mpaka maboya ya kujikinga na ajali za majini!
Mama, chondechonde naomba umuwezesha huyu dada wa mfano!
Yaani kugawa life jacket once a year na madaftari amiminiwe ubunge! Ped bas agawe bure piaKila anaefanya kitu huko Instagram ndo apewe ubunge?Why her?
Kwanini sio wengine?
Kama Ubunge Tanzania ni wa Kupeana tu hovyo kama Michango ya Kadi za Harusi basi hata Mimi GENTAMYCINE naomba niteuliwe Ubunge Mawazo yangu mengi hapa JamiiForums yana Tija kwa Jamii husika na hasa kwa Serikali, Watendaji wake na mpaka katika Sekta ya Michezo.Huwa naangalia mambo anayofanya huyu dada kusema kweli nadiriki kusema huyu dada anafaa kuwa Mbunge kuwakilisha vijana wa Tanzania. Michango yake kwa kupitia Flaviana Matata Foundation ni mingi na imekuwa manufaa kwa vijana, kuanzia taulo za kike kuja madaftari na kalamu za shule mpaka maboya ya kujikinga na ajali za majini!
Mama, chondechonde naomba umuwezesha huyu dada wa mfano!
wewe ushagawa hata leso kwa mtoto wako?Kama Ubunge Tanzania ni wa Kupeana tu hovyo kama Michango ya Kadi za Harusi basi hata Mimi GENTAMYCINE naomba niteuliwe Ubunge Mawazo yangu mengi hapa JamiiForums yana Tija kwa Jamii husika na hasa kwa Serikali, Watendaji wake na mpaka katika Sekta ya Michezo.
Nawapa sana Mimba wale Wagumbai.wewe ushagawa hata leso kwa mtoto wako?
Hili umelionaje wewe?Na hata ndoa yake haioimeki kama iko heaven au hell