Rais Samia Suluhu Hassan sikiliza kilio cha wengi, Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu

Rais Samia Suluhu Hassan sikiliza kilio cha wengi, Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Wengi wanaopiga kelele wanakupenda sana.

Wachache wanaokusifia kwa kila jambo wanakupoteza na wanakuingiza mkenge shutuka.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu watu wengi wanataka yafuatayo!!

Umeme kuunganishwa umepanda kutoka 27000 mpaka 320,000 ndugu yangu rais wangu nakupenda Sana hapa wanachi wengi hawajafurahia na wanasononeka Sana.

Wananchi wengi hawapendezwi na jinsi wahuni ndani ya ccm wanavyomtukana Rais aliyepita Magufuli Kama vile hakuna jambo jema alilofanya nawaomba hii ajenda muachane nayo.

Mambo yote mabaya yanayomhusu Magufuli achana nayo Kama ulivyomsimanga juzi kuhusu vifaranga ndugu yangu achana na mtu aliyelala Marehemu hasemwi.

Rais wangu achana na wahujumu uchumi kupita wizara ya nishati wanafanya biashara za solar na generator wakiongozwa na February Hawa watakuangusha mvua imenyesha ya kutosha umeme uwake...!

Rais wangu Wizara ya nishati inahujumiwa na serikali yenyewe na kuna tetesi za kupandishwa kwa unit ya umeme kutoka 300+ kwenda 500+ kwa unit moja huu ni uhujumu uchumi wa wazi wazi!!

Tatizo la maji lisijirudie tena naona baada ya mto ruvu kujaa mmesahau tena na kuanza kukenua meno mwakani tutarudi kulekule mwakani.

Rais wangu acha kufurahisha genge la watu wachache ambao ni wahujumu uchumi wa nchi hii utachekwa pekee yako.

Kama wanavyomsimanga Magufuli na Jk na wewe unawatazama tu ndio hivyo hivyo watakutukana ukirudi Zanzibar.

Mambo ni mengi muda ni mchache ila nakupa tu tahadhari ukiendelea kusikiliza sauti za wachache na kuacha sauti za wengi by 2025 unaenda nyumbani.

Katiba imekushinda, Tume huru imekushinda, mikutano ya wanasiasa wenzio imekushinda, Maji yamekushinda, Uchumi umekushinda, mfumuko wa bei umekushinda, Bandari imekushinda, umeme ndio unapuyanga, Reli ndio hiyo umebariki tuletewe mabehewa fake upuuzi mtupu na nauri za dar dodoma eti elf 55😀😀

Nchi ipo kukopa tu na kuongeza deni la taifa wakati kinachokopwa Wala hakijulikani kinaenda wapi?

Chukua tahadhari wanaokupaka mafuta ndio watakuangusha.

Acha kumsema Magufuli, pia piga marufuku watu wote kumsema vibaya mtu aliyekufa.

Acha kuzunguka na kuzurura kaa ofisini pitia mafaili ya watu na watumbue watu Linda pesa za nchi by 2025 utakuja kunishukuru nimekaa pale!!.
 
Wengi wanaopiga kelele wanakupenda sana.

Wachache wanaokusifia kwa kila jambo wanakupoteza na wanakuingiza mkenge shutuka.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu watu wengi wanataka yafuatayo!!

Umeme kuunganishwa umepanda kutoka 27000 mpaka 320,000 ndugu yangu rais wangu nakupenda Sana hapa wanachi wengi hawajafurahia na wanasononeka Sana.

Wananchi wengi hawapendezwi na jinsi wahuni ndani ya ccm wanavyomtukana Rais aliyepita Magufuli Kama vile hakuna jambo jema alilofanya nawaomba hii ajenda muachane nayo.

Mambo yote mabaya yanayomhusu Magufuli achana nayo Kama ulivyomsimanga juzi kuhusu vifaranga ndugu yangu achana na mtu aliyelala Marehemu hasemwi.

Rais wangu achana na wahujumu uchumi kupita wizara ya nishati wanafanya biashara za solar na generator wakiongozwa na February Hawa watakuangusha mvua imenyesha ya kutosha umeme uwake...!

Rais wangu Wizara ya nishati inahujumiwa na serikali yenyewe na kuna tetesi za kupandishwa kwa unit ya umeme kutoka 300+ kwenda 500+ kea unit moja huu ni uhujumu uchumi wa wazi wazi!!

Tatizo la maji lisijirudie tena naona baada ya mto ruvu kukaa mmesahau tena na kuanza kukenua meno mwakani tutarudi kulekule.

Rais wangu acha kufurahisha genge la watu wachache ambao ni wahujumu uchumi wa nchi hii utachekwa pekee yako.

Kama wanavyomsimanga Magufuli na Jk na wewe unawatazama tu ndio hivyo hivyo watakutukana ukirudi zanzibar.

Mambo ni mengi muda ni mchache ila nakupa tu tahadhari ukiendelea kusikiliza sauti za wachache na kuacha sauti za wengi by 2025 unaenda nyumbani

Katiba imekushinda, Tume huru imekushinda, Nikutanie ya wanasiasa wenzio imekushinda, Maji yamekushinda, Uchumi imekushinda, mfumuko wa bei umekushinda, Bandari imekushinda, umeme ndio unapuyanga, Reli ndio hiyo umebariki tuletewe mabehewa fake upuuzi mtu.!!

Nchi ipo kukopa tu na kuongea deni la taifa wakati kinachokopwa Wala hakijulikani kinaenda wapi?hukua tahadhari wanaokupaka mafuta ndio watakuangusha.

Acha kumsema Magufuli, pia piga marufuku watu wote kumsema vibaya mtu aliyekufa.

Acha kuzunguka na kuzurura kaa ofisini pitia mafaili ya watu na watumbue watu Linda pesa za nchi by 2025 utakuja kunishukuru nimekaa pale!!.
I concur with you brother! Taifa kwanza.
 
Raisi wa Jamhuri Ya Muungano wa TZ halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote (Katiba JMT,1977) Kifungu sikumbuki
Watu wakiambiwa katiba mpya wanashupaza shingo
 
Sahizi tulio wengi tunalia kilio cha samaki machozi yote yanabebwa na maji.
 
Ile kauli ya Mzee Makamba ya "watu wazuri hawafi" ina tafsiri nyingi inaweza kuwa ni kitisho kwa rais Samia.
 
Samia alijitengenezea tatizo mwenyewe bila kujua, sasa hilo tatizo alilojitengenezea ndio linaanza kumtafuna, amesababisha aonekane anawakilisha kikundi cha mafisadi wachache wanaoitafuna nchi kwa dharau.

Alipoingia madarakani akaanza kuwaondoa waliokuwa watendaji wa Magufuli, huku akiwarudisha wale waliotemwa na Magufuli. Sidhani kama alipata muda wa kutosha kujua sababu zilizomfanya Magufuli awatose kwenye serikali yake.

Binafsi, naona aliamua kufanya vile akiamini atakuwa salama kwa kuzungukwa na kundi la marafiki zake, au watoto wao, akasahau baadhi ya hao wana kashfa zinazowazonga muda wote, huku utendaji wao ukiwa mbovu.

Sasa ameanza kuvuna alichopanda, ameanza kazi ya kuwaombea msamaha kwa viburi vyao, kwa kujua au kutokujua, ametengeneza picha kwa watanzania wanaona vile anavyokibeba kikundi cha wachache.

Nao wanakikundi kwa kutambua udhaifu wake, wanachofanya ni kumsifia 24 hours ili kujihakikishia usalama wa ofisi zao, wala sio kwa utendaji wao serikalini ambao kwa kiasi kikubwa hauridhishi.
 
" katika maisha yako usije kumsaidia mtu masikin na mjinga ,damu yako itapotea Bure na hawana shukrani wala upendo "

Mfano ni magufuli ,damu yake imwamgika kutetea masikin ,Leo Yuko wapi ....

Lissu mpaka Leo ni kilema Kwa kutetea wajinga.....


Samia usifanye kosa ,acha wajinga wanyooke mpaka akili iwakae sawa ,damu yako hawatakuja kuthamini kabisa ....

Over
 
Katiba 1977, Kifungu 37. ibara ndogo ya (1), Mbali na kuzingatia masharti yaliyomo katika Katiba hii, na sheria za Jamhuri ya Muungano katika utendaji wa kazi na shughuli zake, Rais atakuwa huru na hatalazimika kufuata ushauri atakaopewa na mtu yeyote, isipokuwa tu pale anapotakiwa na Katiba hii au na sheria nyingine yoyote kufanya jambo lolote kulingana na ushauri anaopewa na mtu au mamlaka yoyote.
 
Ikishindikana kabisa Mungu atanyoosha mkono maana sie ni wake ndo katuumba. Hao wanaotufanyia haya wamesahau aliyetuumba yupo na wala hajalala

Mungu yuko macho anaendelea kuwatizama, akichoka watatamani dunia iwachukue
 
Samia alijitengenezea tatizo mwenyewe bila kujua, sasa hilo tatizo alilojitengenezea ndio linaanza kumtafuna, amesababisha aonekane anawakilisha kikundi cha mafisadi wachache wanaoitafuna nchi kwa dharau.

Alipoingia madarakani akaanza kuwaondoa waliokuwa watendaji wa Magufuli, huku akiwarudisha wale waliotemwa na Magufuli. Sidhani kama alipata muda wa kutosha kujua sababu zilizomfanya Magufuli awatose kwenye serikali yake.

Naona aliamua kufanya vile akiamini atakuwa salama kwa kuzungukwa na kundi la marafiki zake, au watoto wao, akasahau baadhi ya hao wana kashfa zinazowazonga muda wote, huku utendaji wao ukiwa mbovu.

Sasa ameanza kuvuna alichopanda, ameanza kazi ya kuwaombea msamaha kwa viburi vyao, kwa kujua au kutokujua, anatengeneza picha kwa watanzania wanaona vile anavyokibeba kikundi cha wachache, nao kwa kutambua udhaifu wake, wanachofanya ni kumsifia 24 hours ili kujihalalishia usalama wa ofisi zao, wala sio kwa utendaji wao.
Hakuna cha watendaji wa mtu hapa. Rais Samia katumia haki yake kupanga safu ya watendaji anaoona watamsaidia vema. Hata Magufuli alitengua watendaji wa awamu zilizomtangulia, naye ilikuwa haki yake.

Kuhusu bei ya kuunganisha umeme, Samia kafanya jambo jema. Sasa hivi ukiomba kuunganishiwa ukalipia hiyo 320,000 unaunganishiwa ndani ya wiki moja. Hiyo 27,000 ilikuwa kisiasa zaidi. Watu walikaa zaidi ya mwaka wakisubiri kuunganishiwa umeme baada ya kulipia. Hongera sana rais Samia. Endelea kuupiga mwingi.
 
" katika maisha yako usije kumsaidia mtu masikin na mjinga ,damu yako itapotea Bure na hawana shukrani wala upendo "

Mfano ni magufuli ,damu yake imwamgika kutetea masikin ,Leo Yuko wapi ....

Lissu mpaka Leo ni kilema Kwa kutetea wajinga.....


Samia usifanye kosa ,acha wajinga wanyooke mpaka akili iwakae sawa ,damu yako hawatakuja kuthamini kabisa ....

Over
Sio wajinga ni wapumbavu taifa letu Lina watu wengi wapumbavu ( hawaelimiki)!
 
Hakuna cha watendaji wa mtu hapa. Rais Samia katumia haki yake kupanga safu ya watendaji anaoona watamsaidia vema. Hata Magufuli alitengua watendaji wa awamu zilizomtangulia, naye ilikuwa haki yake.

Kuhusu bei ya kuunganisha umeme, Samia kafanya jambo jema. Sasa hivi ukiomba kuunganishiwa ukalipia hiyo 320,000 unaunganishiwa ndani ya wiki moja. Hiyo 27,000 ilikuwa kisiasa zaidi. Watu walikaa zaidi ya mwaka wakisubiri kuunganishiwa umeme baada ya kulipia. Hongera sana rais Samia. Endelea kuupiga mwingi.
Kwa umeme huu ambao hauwaki? Kutwa watu wamewasha Generator kweli wapumbavu mpo wengi nchi hii.
 
Hakuna cha watendaji wa mtu hapa. Rais Samia katumia haki yake kupanga safu ya watendaji anaoona watamsaidia vema. Hata Magufuli alitengua watendaji wa awamu zilizomtangulia, naye ilikuwa haki yake.

Kuhusu bei ya kuunganisha umeme, Samia kafanya jambo jema. Sasa hivi ukiomba kuunganishiwa ukalipia hiyo 320,000 unaunganishiwa ndani ya wiki moja. Hiyo 27,000 ilikuwa kisiasa zaidi. Watu walikaa zaidi ya mwaka wakisubiri kuunganishiwa umeme baada ya kulipia. Hongera sana rais Samia. Endelea kuupiga mwingi.
Sijakataa Samia kuwa na watendaji wake, tatizo ni pale anapoendelea kuwakumbatia hata wale waliofeli, kwa kufanya hivyo anajifelisha yeye binafsi kwa kuonekana dhaifu, na serikali anayoiongoza.

Kuhusu bei ya umeme kutoka 27,000/= mpaka 320,000/=, pia sina tatizo nalo, tatizo lililopo ni Samia binafsi wakati ule wa Magufuli kutuambia 27,000/= ingetosha kutuunganishia umeme, lakini ajabu baada ya Magufuli kuondoka, Samia akaikataa 27,000/= kwa kusema ilikuwa bei ya kisiasa.

Huyu alitudanganya.
 
Wengi wanaopiga kelele wanakupenda sana.

Wachache wanaokusifia kwa kila jambo wanakupoteza na wanakuingiza mkenge shutuka.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu watu wengi wanataka yafuatayo!!

Umeme kuunganishwa umepanda kutoka 27000 mpaka 320,000 ndugu yangu rais wangu nakupenda Sana hapa wanachi wengi hawajafurahia na wanasononeka Sana.

Wananchi wengi hawapendezwi na jinsi wahuni ndani ya ccm wanavyomtukana Rais aliyepita Magufuli Kama vile hakuna jambo jema alilofanya nawaomba hii ajenda muachane nayo.

Mambo yote mabaya yanayomhusu Magufuli achana nayo Kama ulivyomsimanga juzi kuhusu vifaranga ndugu yangu achana na mtu aliyelala Marehemu hasemwi.

Rais wangu achana na wahujumu uchumi kupita wizara ya nishati wanafanya biashara za solar na generator wakiongozwa na February Hawa watakuangusha mvua imenyesha ya kutosha umeme uwake...!

Rais wangu Wizara ya nishati inahujumiwa na serikali yenyewe na kuna tetesi za kupandishwa kwa unit ya umeme kutoka 300+ kwenda 500+ kwa unit moja huu ni uhujumu uchumi wa wazi wazi!!

Tatizo la maji lisijirudie tena naona baada ya mto ruvu kujaa mmesahau tena na kuanza kukenua meno mwakani tutarudi kulekule mwakani.

Rais wangu acha kufurahisha genge la watu wachache ambao ni wahujumu uchumi wa nchi hii utachekwa pekee yako.

Kama wanavyomsimanga Magufuli na Jk na wewe unawatazama tu ndio hivyo hivyo watakutukana ukirudi Zanzibar.

Mambo ni mengi muda ni mchache ila nakupa tu tahadhari ukiendelea kusikiliza sauti za wachache na kuacha sauti za wengi by 2025 unaenda nyumbani.

Katiba imekushinda, Tume huru imekushinda, mikutano ya wanasiasa wenzio imekushinda, Maji yamekushinda, Uchumi umekushinda, mfumuko wa bei umekushinda, Bandari imekushinda, umeme ndio unapuyanga, Reli ndio hiyo umebariki tuletewe mabehewa fake upuuzi mtupu na nauri za dar dodoma eti elf 55😀😀

Nchi ipo kukopa tu na kuongeza deni la taifa wakati kinachokopwa Wala hakijulikani kinaenda wapi?

Chukua tahadhari wanaokupaka mafuta ndio watakuangusha.

Acha kumsema Magufuli, pia piga marufuku watu wote kumsema vibaya mtu aliyekufa.

Acha kuzunguka na kuzurura kaa ofisini pitia mafaili ya watu na watumbue watu Linda pesa za nchi by 2025 utakuja kunishukuru nimekaa pale!!.
Yaani aache kumsikiliza Mkwere aanze tu kuwasikilizeni ninyi?
 
Kwa umeme huu ambao hauwaki? Kutwa watu wamewasha Generator kweli wapumbavu mpo wengi nchi hii.
Umeme umekuwa tatizo kwa awamu tatu ikiwemo ya Kikwete, Magufuli na Samia. Acheni kumshambulia Samia kisa tu hamumkubali. Ulitaka yeye aje na miujiza gani ndani ya mwaka mmoja wa bajeti? Kwa taarifa yako nchi inaenda vizuri mno. Hutaki jinyonge kuliko kutukana watu hapa.
 
Mwanzo kabisa wa huu utawala, kuna mzee aliniambia kuhusu Wazanzibar, namnukuu "Mzanzibar akipata wali na samaki wa nazi, basi hapo katosheka, mengine yatajiweka vizuri yenyewe" mwisho wa nukuu, sikumuelewa vizuri ila sasa napata picha, mama katosheka.
 
Wengi wanaopiga kelele wanakupenda sana.

Wachache wanaokusifia kwa kila jambo wanakupoteza na wanakuingiza mkenge shutuka.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu watu wengi wanataka yafuatayo!!

Umeme kuunganishwa umepanda kutoka 27000 mpaka 320,000 ndugu yangu rais wangu nakupenda Sana hapa wanachi wengi hawajafurahia na wanasononeka Sana.

Wananchi wengi hawapendezwi na jinsi wahuni ndani ya ccm wanavyomtukana Rais aliyepita Magufuli Kama vile hakuna jambo jema alilofanya nawaomba hii ajenda muachane nayo.

Mambo yote mabaya yanayomhusu Magufuli achana nayo Kama ulivyomsimanga juzi kuhusu vifaranga ndugu yangu achana na mtu aliyelala Marehemu hasemwi.

Rais wangu achana na wahujumu uchumi kupita wizara ya nishati wanafanya biashara za solar na generator wakiongozwa na February Hawa watakuangusha mvua imenyesha ya kutosha umeme uwake...!

Rais wangu Wizara ya nishati inahujumiwa na serikali yenyewe na kuna tetesi za kupandishwa kwa unit ya umeme kutoka 300+ kwenda 500+ kwa unit moja huu ni uhujumu uchumi wa wazi wazi!!

Tatizo la maji lisijirudie tena naona baada ya mto ruvu kujaa mmesahau tena na kuanza kukenua meno mwakani tutarudi kulekule mwakani.

Rais wangu acha kufurahisha genge la watu wachache ambao ni wahujumu uchumi wa nchi hii utachekwa pekee yako.

Kama wanavyomsimanga Magufuli na Jk na wewe unawatazama tu ndio hivyo hivyo watakutukana ukirudi Zanzibar.

Mambo ni mengi muda ni mchache ila nakupa tu tahadhari ukiendelea kusikiliza sauti za wachache na kuacha sauti za wengi by 2025 unaenda nyumbani.

Katiba imekushinda, Tume huru imekushinda, mikutano ya wanasiasa wenzio imekushinda, Maji yamekushinda, Uchumi umekushinda, mfumuko wa bei umekushinda, Bandari imekushinda, umeme ndio unapuyanga, Reli ndio hiyo umebariki tuletewe mabehewa fake upuuzi mtupu na nauri za dar dodoma eti elf 55😀😀

Nchi ipo kukopa tu na kuongeza deni la taifa wakati kinachokopwa Wala hakijulikani kinaenda wapi?

Chukua tahadhari wanaokupaka mafuta ndio watakuangusha.

Acha kumsema Magufuli, pia piga marufuku watu wote kumsema vibaya mtu aliyekufa.

Acha kuzunguka na kuzurura kaa ofisini pitia mafaili ya watu na watumbue watu Linda pesa za nchi by 2025 utakuja kunishukuru nimekaa pale!!.
Huna lolote umekosa umewekwa pembeni. Hamkuweka akiba wakati mnakula na marehemu?
 
Back
Top Bottom